You need the holy Spirit...Confirmed..kafa, huyu si alikatwa mkono au sjui kidole..lakini its one of the two
lakini ndio ma sheikh wa BAKWATA hao, yule sheikh mkuu naye alikatwa mguu lakini waandishi wakapigwa marufuku kuripoti kuwa alikatwa mguu..kisa imani za shirikina haafu kila kukicha wanasema kuna conspiracy toka kwa wakristo na kanisa!
I wonder how much MENGI atakuwa kasikitishwa na kifo cha huyu bwana maana Gorogosi na sheikh mkuu ndio watu wake wa karibu sana hawa na kama mtu aliona ile dvd ya Mengi kupewa tuzo na BAKWATA you could see hawa wawili walikuwa ma swahiba wakubwa sana
MWENYEZI MUNGU AMFIKISHE GOROGOSI ANAPOSTAHILI
Umefulia wewe..Lol...Roho mbaya tu yakusumbuakwa waislam siku yake ya peponi bado kwa sababu itabidi kwanza afufuliwe siku ya kiama kisha asomewe mashtaka yake hapo ndio itaamuliwa ataenda FIN'AARI JAHANAM au vipi
the bottom line huyu huwezi kumfananisha na al Marhum sheikh NURDIN SHADHLY au HEMED BIN JUMAA BIN HEMED kwani pamoja na mambo mengine wao walikuwa wamebobea kwenye EI'LM tofauti na Gorogosi
i HOPE SERIKALI HAITOTUMIA KODI ZETU KUGHARAMIA MAZISHI YAKE MAANA HAKUAJIRIWA NA SERIKALI
WAPO AKINA MENGI AMBAO NAJUA WATAJITOLEA KWA KILA HALI INCLUDING KUONYESHA MAZISHI LIVE KWENYE ITV
Ina Lillah wa ina Ilaihi Rajiun
Samahani wakuu. Naomba kujua maana ya maneno haya kwa sisi tusiyo Waislamu wala kujua Kiarabu.
unaanza ku sound kama mgala mambo haya umeyaanza lini?
huyu gorogosi hana tofauti na Abuu lahabi
serves him right au unataka nikukumbushe ndugu yangu Muyaka anvyosema?
Muuyaka anasema:
YU WAPI FIRAUNI
YU WAPI KARUNI
NA SHADADI MALUUNI
WOTE WAMEANGAMIA
narudia,kama alivypsema marhum sheikh Hemed Bin Jumaa pale uwanja wa taifa Juliasi nyerer alipokufa, MWENYEZI MUNGU AMPELEKE ANAKOSTAHILI...
Atakaye sikitika sana kwenye hili ni swahiba wake bwana Reginald Mengi