Sheikh Gologosi afariki katika ajali mbaya

Confirmed..kafa, huyu si alikatwa mkono au sjui kidole..lakini its one of the two

lakini ndio ma sheikh wa BAKWATA hao, yule sheikh mkuu naye alikatwa mguu lakini waandishi wakapigwa marufuku kuripoti kuwa alikatwa mguu..kisa imani za shirikina haafu kila kukicha wanasema kuna conspiracy toka kwa wakristo na kanisa!


I wonder how much MENGI atakuwa kasikitishwa na kifo cha huyu bwana maana Gorogosi na sheikh mkuu ndio watu wake wa karibu sana hawa na kama mtu aliona ile dvd ya Mengi kupewa tuzo na BAKWATA you could see hawa wawili walikuwa ma swahiba wakubwa sana

MWENYEZI MUNGU AMFIKISHE GOROGOSI ANAPOSTAHILI
You need the holy Spirit...
 
a tragedy, mmoja alikuwa Mufti mtarajiwa na mwingine Mbunge mtarajiwa wa Lindi mjini! mungu ailaze roho yake mahali pema peponi.
 
kwa waislam siku yake ya peponi bado kwa sababu itabidi kwanza afufuliwe siku ya kiama kisha asomewe mashtaka yake hapo ndio itaamuliwa ataenda FIN'AARI JAHANAM au vipi

the bottom line huyu huwezi kumfananisha na al Marhum sheikh NURDIN SHADHLY au HEMED BIN JUMAA BIN HEMED kwani pamoja na mambo mengine wao walikuwa wamebobea kwenye EI'LM tofauti na Gorogosi
Umefulia wewe..Lol...Roho mbaya tu yakusumbua
 
GT,
Mkuu inabidi ukatoe ashahadu upyaaa! wewe nani wa kujua nani ataenda peponi?..
 
i HOPE SERIKALI HAITOTUMIA KODI ZETU KUGHARAMIA MAZISHI YAKE MAANA HAKUAJIRIWA NA SERIKALI

WAPO AKINA MENGI AMBAO NAJUA WATAJITOLEA KWA KILA HALI INCLUDING KUONYESHA MAZISHI LIVE KWENYE ITV

You are being cynical sir, kwa wakati kama huu wa majonzi kwa waTanzania wengi haipendezi.
Tenda au sema lile umbalo ungependa nawe utendewe.
 

Samahani wakuu. Naomba kujua maana ya maneno haya kwa sisi tusiyo Waislamu wala kujua Kiarabu.

Inna lillahi wa inna ilaihi raji'un

Hakika sisi ni wa Mwenyezi Mungu, na kwake Yeye hakika tutarejea

We belong to Allah (God) and to Him we shall return


or

To Allah we belong and to Him is our return
 
unaanza ku sound kama mgala mambo haya umeyaanza lini?

huyu gorogosi hana tofauti na Abuu lahabi

serves him right au unataka nikukumbushe ndugu yangu Muyaka anvyosema?

Muuyaka anasema:

YU WAPI FIRAUNI
YU WAPI KARUNI
NA SHADADI MALUUNI
WOTE WAMEANGAMIA

narudia,kama alivypsema marhum sheikh Hemed Bin Jumaa pale uwanja wa taifa Juliasi nyerer alipokufa, MWENYEZI MUNGU AMPELEKE ANAKOSTAHILI...

Atakaye sikitika sana kwenye hili ni swahiba wake bwana Reginald Mengi

GT duu?? Halafu utu na uungwana havinunuliwi walau tungepitisha harambee!


RIP Gorogosi
 
Poleni Wafiwa...Sisi ni wa Allah(SW) na kwake tutarejeshwa!!

GT ...please maoni yako yanabore!!! ni Sawa umefika msibani ukaanza kumtukana marehemu mbele ya wafiwa au kadamnasi...!!! Waislam wengi hatuitaki bakwata, lkn hapa si mahala pake...lkn pia Haifai kuombeana KIFO....

Kanuni ya Msingi aliotufundisha Mtume(SAW)...inasema.Jiepusheni kutaja Mabaya ya Maiti zenu, na Jikumbusheni kwa Mema yake....!!
 
Heshima zenu wana JF!!
Nimepata habari toka Tz Kwamba Sheikh wa BAKWATA Al maarufu Seikh Gorogosi amefariki dunia. Habari zaidi zitakuja baadae.Innah lillah wa innah ilayh rajighun!!
 
Naam Muyaka anaendela anasema:
KABURI ZIMEWAKAZA
HAPANA LA KUPUMBAZA
KOTE KUMEFUNGA KIZA
ADHABU KUWASHUKIA
 
Back
Top Bottom