Game Theory
Platinum Member
- Sep 5, 2006
- 8,545
- 835
GT,
Mkuu inabidi ukatoe ashahadu upyaaa! wewe nani wa kujua nani ataenda peponi?..
sababu kubwa ya kufanya hivyo ni ipi?
maana ningekuwa nimeabudu kinyago au nimemshirikisha Mungu sawa lakini kumsema mtu ambayewakati wa uhai wake alikuwa irrelevant kwa waislam
I'm sorry to dissapoint you, shekhe inabidi upitie tena reference zako