Sheikh Gologosi afariki katika ajali mbaya

well, i am sorry to dissapoint you mimi sitoingia kwenye hii orgy ya kutaka kumfanya Gorogosi kuwa ni mtakatifu and i will stand by my opinion kuwa alikuwa ni useless kwenye interfaith dialogue in Tanzania.

Zaidi ya hayo huyu bwana aliendorse bila kuuliza maswali ile PREVENTION OF TERRORISM ACT YA 2002 amabayo kama alivyosema ISSA SHIVJI kuwa tulichokifanya ni kucopy and paste ile PATRIOT ACT,ya 2001 ya USA ...maana hatukukosea hata spelling!

Anyway Gorogosi kama kiongozi wa kidini alipoulizwa kuhusus hii issue jibu lake ni kuwa "ahh ntaweza wapi mie mambo yenu hayo bwana wee ahhh" sasa kwa waislam ambao waliathirika na PREVENTION DETENTION ACT ya 1964 surely mtu mwenye calibre ya Gorogosi should have known better what to say..lakini how can we forget maneno ya kejeli aliyoyatoa Gorogosi kuhusus Independent inquest wakati wa vurugu za MWEMBECHAI?

Labda ungepitia kitabu cha GOOD MUSLIM,BAD MUSLIM kilichoandikwa na Maamdani utaelewa ninachokiongelea hapa

Narudia tena huyu marehemu Gorogori hakucommand respect among the majority muslims bali alikuwa ana command respect ya hawa waliookuwa tayari kupata vijisenti ili wasiulize maswali. Sana sana Legacy yake itakuwa kuwa ni kujenga maduka ya pale kinondoni Muslim na Mwinyi kupigwa kibao mbele yake

INSHAALAH MWENYEZI MUNGU AMFIKISHE MAHALA ANAPOSTAHILI

GT,
Ninakuombea kwa Mwenyezi Mungu akupe moyo wa subira na akujaalie hekima na busara sasa na wakati wote.
 
gt,
ninakuombea kwa mwenyezi mungu akupe moyo wa subira na akujaalie hekima na busara sasa na wakati wote.

akutendeaemema
kumshukuru ni lazima
jaza ya mema ni mema
maovu kutoyatia


butter_bag.jpg
 
Last edited:
Mwenyezi Mungu Ailaze roho ya marehemu Pema Peponi, Ameen.

Maalim kwa waislam ni huwezi kwenda peoponi mpaka ufufuliwe na baada ya hapo ndipo wataangalia amali zako

sasa the question je huku nyuma amalializoziacha marehemu ni zipi?

labda tungerudi tena kwa bwana Muaka ambaye anasema:

MBONA UMEGHAFILIKA?
KWA JAMBO LISILO NA SHAKA?
SHETANI UMEMSHIKA
UMEMWACHA NABIA?





I rest my case
 
Niliwahi kuongea na sheikh Gologosi mara mbili, naweza kusema ni sheikh ambaye pamoja na kuwa na manung'uniko na serikali, kutokuwa na furaha kuwa Bakwata, aliweka maslahi ya Taifa mbele kuliko maslahi ya dini yake na maslahi yake binafsi. Kwa hiyo kama kuna mnaochukia mumchukie kwa mabaya mnayoyajua, lakini tumempoteza mtanzania ambaye aliliweka taifa lake mbele kuliko maslahi yake binafsi.
 
Niliwahi kuongea na sheikh Gologosi mara mbili... kutokuwa na furaha kuwa Bakwata.

Watu wengine kwa kutengeneza tamthiliya hamjambo. Eti Kaimu Mufti Mkuu akawa hana furaha na BAKWATA, sasa kwa nini alijiingiza huko au kwa nini asingebadilisha hayo asiyopenda BAKWATA? Mkuu Bongolander wacha kumtengenezea tenzi marehemu.
 
Last edited by a moderator:
Anyway Gorogosi kama kiongozi wa kidini alipoulizwa kuhusus hii issue jibu lake ni kuwa "ahh ntaweza wapi mie mambo yenu hayo bwana wee ahhh" sasa kwa waislam ambao waliathirika na PREVENTION DETENTION ACT ya 1964 surely mtu mwenye calibre ya Gorogosi should have known better what to say..lakini how can we forget maneno ya kejeli aliyoyatoa Gorogosi kuhusus Independent inquest wakati wa vurugu za MWEMBECHAI?

INSHAALAH MWENYEZI MUNGU AMFIKISHE MAHALA ANAPOSTAHILI
iT IS OBVIOUS THAT YOUR MIND IS DISCOLOURED BY YOUR OBSCURE THINKING AND LACK OF OBJECTIVITY.
Tutajie Mkuu waislamu wote walioathirika na hiyo PDA ya 1964.
Na inavoelekea sasa hivi wewe ndo upo unapostahili haswa!!!
 
hebu tupumzishe mjomba...mambo hayo tuulize sisi, hakuna cha brain wala nini Sheikh mkuu anaogopwa na kila mtu maanawanasema majini alonayo hayawezekaniki na ukiingia kwenye anga zake basi ukae mkao wa kula

hakuna brains zozote ..kungekuwa na brains basi wasingekubali lile dula liuze pombe pale nje ya ofisi za BAKWATA shule ya Kindondoni Muslim..mpaka waislam wakaja kuliondoa kinguvu

sasa kama angekuwa na hizo brains mbona hawakuzitumia wakati wa kusign contract na tenants?
Duuh,nimekubali mkubwa wewe ni Game Theory. Hii comment yako imeniacha hoi. Kikubwa ni kumwombea marehemu alale mahali panapostahili peponi.
Mwenyezi mungu ailaze mahali pema peponi roho ya marehemu.Amen
 
unaanza ku sound kama mgala mambo haya umeyaanza lini?

huyu gorogosi hana tofauti na Abuu lahabi

serves him right au unataka nikukumbushe ndugu yangu Muyaka anvyosema?

Muuyaka anasema:

YU WAPI FIRAUNI
YU WAPI KARUNI
NA SHADADI MALUUNI
WOTE WAMEANGAMIA


narudia,kama alivypsema marhum sheikh Hemed Bin Jumaa pale uwanja wa taifa Juliasi nyerer alipokufa, MWENYEZI MUNGU AMPELEKE ANAKOSTAHILI...

Atakaye sikitika sana kwenye hili ni swahiba wake bwana Reginald Mengi

Subhaana Llaah.

Kwa hili GT sikuungi mkono. Kumfananisha Sheikh Gorogosi na kafiri Abuu Lahab. Hapana. Ndugu yangu umekwenda too far kaka. Sema AstaghfiruLaah. Nam Mungu atakusamehe kwani yeye ni mwingi wa kukubali toba.

Hata akiwa dhaifu kiasi gani kimtizamo, kinadharia..n.k lakini huwezi kumdhalilisha Muislamu mwenzano kiasi hiki.

Mtume Muhammad (SAW) amesema hivi jiepusheni kutaja mabaya ya maiti zenu. Yaani hata kama yapo basi jiepusheni kuyataja.

Sheikh Mungu akurehemu na asamehe madhambi yako na akuingize peponi kwa rehma zako. Aaamiin.
 
Back
Top Bottom