Pundamilia07
JF-Expert Member
- Oct 29, 2007
- 1,439
- 54
well, i am sorry to dissapoint you mimi sitoingia kwenye hii orgy ya kutaka kumfanya Gorogosi kuwa ni mtakatifu and i will stand by my opinion kuwa alikuwa ni useless kwenye interfaith dialogue in Tanzania.
Zaidi ya hayo huyu bwana aliendorse bila kuuliza maswali ile PREVENTION OF TERRORISM ACT YA 2002 amabayo kama alivyosema ISSA SHIVJI kuwa tulichokifanya ni kucopy and paste ile PATRIOT ACT,ya 2001 ya USA ...maana hatukukosea hata spelling!
Anyway Gorogosi kama kiongozi wa kidini alipoulizwa kuhusus hii issue jibu lake ni kuwa "ahh ntaweza wapi mie mambo yenu hayo bwana wee ahhh" sasa kwa waislam ambao waliathirika na PREVENTION DETENTION ACT ya 1964 surely mtu mwenye calibre ya Gorogosi should have known better what to say..lakini how can we forget maneno ya kejeli aliyoyatoa Gorogosi kuhusus Independent inquest wakati wa vurugu za MWEMBECHAI?
Labda ungepitia kitabu cha GOOD MUSLIM,BAD MUSLIM kilichoandikwa na Maamdani utaelewa ninachokiongelea hapa
Narudia tena huyu marehemu Gorogori hakucommand respect among the majority muslims bali alikuwa ana command respect ya hawa waliookuwa tayari kupata vijisenti ili wasiulize maswali. Sana sana Legacy yake itakuwa kuwa ni kujenga maduka ya pale kinondoni Muslim na Mwinyi kupigwa kibao mbele yake
INSHAALAH MWENYEZI MUNGU AMFIKISHE MAHALA ANAPOSTAHILI
GT,
Ninakuombea kwa Mwenyezi Mungu akupe moyo wa subira na akujaalie hekima na busara sasa na wakati wote.