Hi ni dhulma tu.shk farid wanamuonea hakuna ushahidi wa hayo mashtaka.
Huu ni uonevu dhidi ya waislam hasa wale wanao pinga sera za ccm na muungano.
Wananyimwa kupatiwa mawakili..
Wamekamatwa usiku na kuletwa Tanganyika.
Nina uhakika haya ni mpango mzima wa Lukuvi na genge lake la mfumo kristo ambaye wazi wazi ametamka kuibamiza Znz.
Shk Farid kuanzia 2012 december mpaka May 2014 walikua rumande Znz katika kesi ya maandamano .
Sasa leo mtu muda huo ambao anatajwa kutenda kosa alikua chini ya usimamizi wa magereza jea saa ngapi alipanga hizo njama?
Kama ni hivyo basi walipanga na askari wa magerza.
Huu mi uonevu dhidi ya waislam na dini yao..
Kina Lukuvi na kundi lake lililosomea ukachero wa kikomunisti na uongo na kukandamiza wapinzani ndio somo kkuu.
Sio haki kumtoa mtu nje ya Znz kumleta tanganyika kuhukumiwa .
Nawashauru ndugu zake wafungue kesi mahakama kuu znz kupinga mshatikiwa kuletwa tanganyika na pia kuiomba mahakama kuu znz kutangaza mgogoro wa kikatiba kwa jeshi la polisi kukiuka taratibu za muungano na jinai.
Shs farid hajawahi kuishi ama kukaa dar es salam huu ni sawa na utekaji nyara wa raia.
Inavo onekana maharamia ndani ya system wakiripua vibomu vyao kwa lengo maalum ..na ndio hili..huu ni uhalifu
Tumia akili zako vizuri wewe.
Ondoeni wazenj wenzenu wote walioko Tanganyika. Hakuna atakayewafuta.
Gaidi limekamatwa unasingizia uislamu kuonewa.
Tuna rais muislamu, makamu wake muislamu, waziri wa ulinzi muislamu,...wameshindwa kuliona hilo?
Acheni kutumia udini kwa kuedeshwa na mashetani yaliyo kichwani mwenu