crabat
JF-Expert Member
- Dec 28, 2012
- 4,322
- 2,204
Ni kinyume na katiba ya znz na muungano kywafunhulia mashtaka kina Farid na wenzake Dar es salaam.
Wao kama ni uhalifu wameufanya huko znz .
Kuwaleta huku ni katika njia za kuwa dhalilisha na kuwatesa wao na jamaa zao kwani wai hawana jamaa hapa..
Na pia msaada wa wakili kwao iwe shida kwani gharama za wakili wao kuja dar zitapanda.
Hii imefanywa makusudi na haina uhusiano na mashtaka yenyewe ndio maana tunasema hii vita dhidi ya wazanzibari uislam na waislam.
Haijawahi kutokea mbongo kukamatwa na kupelekwa znz kushtakiwa kwa kosa alofanya bara.
Mbina Ambrose mkristo mwenye itikadi kali alolipua kanisa arusha hajapelekwa znz kushtakiwa?
Chuki chuki huzaaa hasira na fujo....
Ukweli farid na wenzake wanaonewa kwa sababu ya uislam wao tu
Wao kama ni uhalifu wameufanya huko znz .
Kuwaleta huku ni katika njia za kuwa dhalilisha na kuwatesa wao na jamaa zao kwani wai hawana jamaa hapa..
Na pia msaada wa wakili kwao iwe shida kwani gharama za wakili wao kuja dar zitapanda.
Hii imefanywa makusudi na haina uhusiano na mashtaka yenyewe ndio maana tunasema hii vita dhidi ya wazanzibari uislam na waislam.
Haijawahi kutokea mbongo kukamatwa na kupelekwa znz kushtakiwa kwa kosa alofanya bara.
Mbina Ambrose mkristo mwenye itikadi kali alolipua kanisa arusha hajapelekwa znz kushtakiwa?
Chuki chuki huzaaa hasira na fujo....
Ukweli farid na wenzake wanaonewa kwa sababu ya uislam wao tu