Gambamala
JF-Expert Member
- May 13, 2014
- 1,045
- 766
Yesu yule wa kweli katufundisha kukaa mbali na MAKAFIRI na Watu woote wanaokula viti moto na nyamafu za wanyama wanapigwa kabali ambao wewe na wazee wako mnaokula.
Pia katufundisha kuwa Kafiri yyt ni najisi kwa hivyo usimkaribishe sehemu takatifu atakuja kukuachia najisi buree!
Lkn nyie yule feki wa kizungu kawafundisha vingine kabisa.
Hahahaha, Waislam wanasema eti Yesu wa kweli yumo Kwenye Quran, lakini ukisoma Quran hakuna Yesu alichofanya zaidi ya kuelezewa CV yake kwa juu juu, ni kama mtalii vile. Quran inawaita wakristu kuwa ni watu wa "Kitabu", hii inamaanisha tayari Bible ilikuwa tayari, Mudy amekopi verse za bible kidogo, akachanganya na mawazo yake akaunda Quran. Ndio maana utaona wakati ule watu waliamini kuwa Jua linazama ardhini, dunia ni flat.
Badala ya kufanya utafiti, Mohammad akaandika kuwa jua linazama kwenye tope la moto, hahaha