Kivumah
JF-Expert Member
- Jan 7, 2008
- 2,428
- 1,050
...Wanajamvi najiuliza hawa Wanasiasa kina Mama(Wabeijing) waliokuwepo Madarakani kama Mawaziri ktk Nusu ya kwanza ya Uongozi wa JK wamepotelea wapi sa hivi na wanajihusisha na nini la kumuondolea Mtanzania wa Leo Umasikini??
Shamsha Mwangunga - Former Waziri wa Maliasili na Utalii
Dr. Batilda Burhan - Former Waziri wa Mazingira, ofisi ya VP
Mwantum Mahiza - Former Naibu Waziri wa Elimu na mafunzo ya Ufundi
Shamsha Mwangunga - Former Waziri wa Maliasili na Utalii
Dr. Batilda Burhan - Former Waziri wa Mazingira, ofisi ya VP
Mwantum Mahiza - Former Naibu Waziri wa Elimu na mafunzo ya Ufundi