Frank Wanjiru
JF-Expert Member
- Apr 12, 2012
- 21,838
- 38,729
Dada mmoja ambaye ni Shabiki wa Simba aitwae Semeni amesema kuwa amevunja ndoa yake baada ya kumbetia mume wake Dada wa kazi endapo Prisons ikiifunga Simba amchukue Dada wa kazi awe mke wake.
"Nilimbetia mume wangu kwa Dada wa kazi, nilipoona tumepata ushindi wa goli sita kwa bila kwa mechi mbili mfululizo dhidi ya TRA na baadae dhidi ya Jwaneng nikaamua kumbetia mume wangu ambae pia ni shabiki wa Simba kuwa Prisons ikiifunga Simba amchukue Dada wa kazi awe mke wake, hapa nilipo kila nikimpigia simu mume wangu hapokei, najiandaa kurudi kijijini kwetu Songambele" alisikika Dada huyo.
"Nilimbetia mume wangu kwa Dada wa kazi, nilipoona tumepata ushindi wa goli sita kwa bila kwa mechi mbili mfululizo dhidi ya TRA na baadae dhidi ya Jwaneng nikaamua kumbetia mume wangu ambae pia ni shabiki wa Simba kuwa Prisons ikiifunga Simba amchukue Dada wa kazi awe mke wake, hapa nilipo kila nikimpigia simu mume wangu hapokei, najiandaa kurudi kijijini kwetu Songambele" alisikika Dada huyo.