Aliyetoa wazo la kutolewa kwa Mkopo Moses Phiri na kumsajili Fredy na Jobe anapaswa kuwaomba radhi mashabiki wa Simba SC

NALIA NGWENA

JF-Expert Member
Oct 6, 2016
10,206
12,732
Ushindi wa Simba sc dhidi Jwaneng galaxy kwa magoli 6 kwa Nunge isiwe kichaka Cha kuwaficha wachezaji wenye viwango vibovu. Natoa big Yes kwa kipa AYUBU, INONGA & CHE FONDO.

Big Yes kwa mabeki wa pembeni SHOMARI & MOHAMED HUSSEIN.
Bila kumsahau kitasa aliyekua anazunguka dimba la kati kiungo mkabaji NGOMA mwamba kamwaga jasho sana hakika kaupiga mwingi anastahili big Yes.

Nitakua nani Kama nitamsahau mwamba wa Lusaka (CHAMA) kwa kazi kubwa aliyoifanya goli moja na assist hakika ni mwamba na anastahili sifa.

Saidoo ntibazonkiza (babau) anastahili pongezi huyu mzee anazeeka na utamu wake nilichokiona Jana kilinikumbusha kiungo matata NIYONZIMA aliyeagwa kwa heshima pale LUPASO.

hayo yote yakifanyika kwa Juhudi Kubwa wachezaji kukaba na kupata mipira ilikua inafia/kupotea katika miguu ya JOBE Hana umakini anapokua kwenye lango la mpinzani, mchoyo na mwenye tamaa ya kufunga na hajui kujiposition haswa timu inapokua na mpira inafanya anatengeneza offsides.

JOBE & FREDY funga funga kwa kiwango wanachokionesha kwenye timu kubwa Kama Simba sc hawastahili kuwa pale kwani wanakiwango kidogo sana kuliko Moses Phiri aliyetolewa kisiasa.
 
Ushindi wa Simba sc dhidi Jwaneng galaxy kwa magoli 6 kwa Nunge isiwe kichaka Cha kuwaficha wachezaji wenye viwango vibovu. Natoa big Yes kwa kipa AYUBU, INONGA & CHE FONDO.

Big Yes kwa mabeki wa pembeni SHOMARI & MOHAMED HUSSEIN.
Bila kumsahau kitasa aliyekua anazunguka dimba la kati kiungo mkabaji NGOMA mwamba kamwaga jasho sana hakika kaupiga mwingi anastahili big Yes.

Nitakua nani Kama nitamsahau mwamba wa Lusaka (CHAMA) kwa kazi kubwa aliyoifanya goli moja na assist hakika ni mwamba na anastahili sifa.

Saidoo ntibazonkiza (babau) anastahili pongezi huyu mzee anazeeka na utamu wake nilichokiona Jana kilinikumbusha kiungo matata NIYONZIMA aliyeagwa kwa heshima pale LUPASO.

hayo yote yakifanyika kwa Juhudi Kubwa wachezaji kukaba na kupata mipira ilikua inafia/kupotea katika miguu ya JOBE Hana umakini anapokua kwenye lango la mpinzani, mchoyo na mwenye tamaa ya kufunga na hajui kujiposition haswa timu inapokua na mpira inafanya anatengeneza offsides.

JOBE & FREDY funga funga kwa kiwango wanachokionesha kwenye timu kubwa Kama Simba sc hawastahili kuwa pale kwani wanakiwango kidogo sana kuliko Moses Phiri aliyetolewa kisiasa.
Mkuu...mbna huyo jobe alifunga jana

Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
 
Ushindi wa Simba sc dhidi Jwaneng galaxy kwa magoli 6 kwa Nunge isiwe kichaka Cha kuwaficha wachezaji wenye viwango vibovu. Natoa big Yes kwa kipa AYUBU, INONGA & CHE FONDO.

Big Yes kwa mabeki wa pembeni SHOMARI & MOHAMED HUSSEIN.
Bila kumsahau kitasa aliyekua anazunguka dimba la kati kiungo mkabaji NGOMA mwamba kamwaga jasho sana hakika kaupiga mwingi anastahili big Yes.

Nitakua nani Kama nitamsahau mwamba wa Lusaka (CHAMA) kwa kazi kubwa aliyoifanya goli moja na assist hakika ni mwamba na anastahili sifa.

Saidoo ntibazonkiza (babau) anastahili pongezi huyu mzee anazeeka na utamu wake nilichokiona Jana kilinikumbusha kiungo matata NIYONZIMA aliyeagwa kwa heshima pale LUPASO.

hayo yote yakifanyika kwa Juhudi Kubwa wachezaji kukaba na kupata mipira ilikua inafia/kupotea katika miguu ya JOBE Hana umakini anapokua kwenye lango la mpinzani, mchoyo na mwenye tamaa ya kufunga na hajui kujiposition haswa timu inapokua na mpira inafanya anatengeneza offsides.

JOBE & FREDY funga funga kwa kiwango wanachokionesha kwenye timu kubwa Kama Simba sc hawastahili kuwa pale kwani wanakiwango kidogo sana kuliko Moses Phiri aliyetolewa kisiasa.
WanaYanga ili mpate comments na Likes lazima muandike habari za Simba?? Ameshinda Simba lkn Watopolo wamewashwaaa kila baada ya dakika 5 wanaanzisha Uzi.

Acheni UShouga kujipendekeza, mtapewa mimba za Mchana kenge nyie.

Pale Yanga mnaye GIFT FRED, Leta uzi wowote wa MwanaSimba kumsemea mbovu. Yanga mijitu ya Hovyo sana, Imejaa Majungu, Husda, Uchawi, Uswahili na uskununu. Punguzeni upumbaavu nyie watu, Simba ina mashabiki wenye haiba acheni choko choko za kishamba. Mind your bizness kenge weee
 
WanaYanga ili mpate comments na Likes lazima muandike habari za Simba?? Ameshinda Simba lkn Watopolo wamewashwaaa kila baada ya dakika 5 wanaanzisha Uzi.

Acheni UShouga kujipendekeza, mtapewa mimba za Mchana kenge nyie.

Pale Yanga mnaye GIFT FRED, Leta uzi wowote wa MwanaSimba kumsemea mbovu. Yanga mijitu ya Hovyo sana, Imejaa Majungu, Husda, Uchawi, Uswahili na uskununu. Punguzeni upumbaavu nyie watu, Simba ina mashabiki wenye haiba acheni choko choko za kishamba. Mind your bizness kenge weee
POLE SANA FRED FUNGA FUNGA KWA KUUMIA NA MATOKEO YA TANZANAI PRISONS.
 
Uwakute sasa Try Again, Mangungu na Ahmed Ally wakati wameshajili magalasa wanavyotamba utasema mwaka huu wakina Al Ahly na Mamelodi watafute pa kutokea. Usajili Simba aliondoka nao Hanspope (RIP). Wengine wenye uwezo kusajili plae Simba na ambao wanaujua mpira ni Kaduguda na Magori lakini nahisi hawasilkilizwi naona watakuwa wameamua kukaa kimya bora liended. Mwingine ni Nyange Kaburu lakini akifurukuta kurudi jamaa wanapiga pini.
 
Uwakute sasa Try Again, Mangungu na Ahmed Ally wakati wameshajili magalasa wanavyotamba utasema mwaka huu wakina Al Ahly na Mamelodi watafute pa kutokea. Usajili Simba aliondoka nao Hanspope (RIP). Wengine wenye uwezo kusajili plae Simba na ambao wanaujua mpira ni Kaduguda na Magori lakini nahisi hawasilkilizwi naona watakuwa wameamua kukaa kimya bora liended. Mwingine ni Nyange Kaburu lakini akifurukuta kurudi jamaa wanapiga pini.
Waliopo wote wahuni
 
Uwakute sasa Try Again, Mangungu na Ahmed Ally wakati wameshajili magalasa wanavyotamba utasema mwaka huu wakina Al Ahly na Mamelodi watafute pa kutokea. Usajili Simba aliondoka nao Hanspope (RIP). Wengine wenye uwezo kusajili plae Simba na ambao wanaujua mpira ni Kaduguda na Magori lakini nahisi hawasilkilizwi naona watakuwa wameamua kukaa kimya bora liended. Mwingine ni Nyange Kaburu lakini akifurukuta kurudi jamaa wanapiga pini.
Kaduguda hajui usajili, Magori alikosana nao baada ya mo na Babra kumuuza Bwalya ambaye alikuwa mchezaji wake bila kupata kitu, Kaburu pia ana jicho zuri kwa wachezaji wa ndani na Afrika mashariki Ila amewekwa kando.
 
Kaduguda hajui usajili, Magori alikosana nao baada ya mo na Babra kumuuza Bwalya ambaye alikuwa mchezaji wake bila kupata kitu, Kaburu pia ana jicho zuri kwa wachezaji wa ndani na Afrika mashariki Ila amewekwa kando.
Inawezekana kweli Kaduguda hajui usajili sitaki kubishana na wewe maana inawezekana unamjua vizuri. Lakini kwa "exposure" yake kama mwandishi mkongwe wa habari hususan za michezo na ana cheti cha ukocha japo ngazi za chini vyote hivyo ni vigezo tosha vya yeye kuujua mpira kwa kiasi fulani kiasi hawezi kusajili mchezaji asiyelingana na hadhi ya Simba kama ambavyo usajili unafanyika sasa.
 
Inawezekana kweli Kaduguda hajui usajili sitaki kubishana na wewe maana inawezekana unamjua vizuri. Lakini kwa "exposure" yake kama mwandishi mkongwe wa habari hususan za michezo na ana cheti cha ukocha japo ngazi za chini vyote hivyo ni vigezo tosha vya yeye kuujua mpira kwa kiasi fulani kiasi hawezi kusajili mchezaji asiyelingana na hadhi ya Simba kama ambavyo usajili unafanyika sasa.
Kuna makala alikuwa anaandika kwenye gazeti la Msimbazi, kipindi hicho alikuwa kiongozi. Akawa anaeleza Aina ya wachezaji Simba unaohitaji na alikuwa sahihi. Kiungo mkabaji, wafungaji na maeneo mengine ambayo Yana mapungufu.
Kilichonishangaza yeye alikuwa kwenye Bodi kwanini awe analalamika Kama sisi mashabiki.
 
Kuna makala alikuwa anaandika kwenye gazeti la Msimbazi, kipindi hicho alikuwa kiongozi. Akawa anaeleza Aina ya wachezaji Simba unaohitaji na alikuwa sahihi. Kiungo mkabaji, wafungaji na maeneo mengine ambayo Yana mapungufu.
Kilichonishangaza yeye alikuwa kwenye Bodi kwanini awe analalamika Kama sisi mashabiki.
Ndio maana nilisema pale kwenye bodi ya Simba kwa uchache ninaowafahamu kuwa wanaujua mpira na fitina za usajili wa wachezaji wazuri ni Kaduguda na Magori. Lakini inaonekana wanapuuzwa na maoni yao hayapewi nafasi vinginevyo usajili wa Simba usingekuwa wa mashaka kwa misimu hii miwili/mitatu iliyopita.
 
Back
Top Bottom