Chatumkali
JF-Expert Member
- Sep 9, 2011
- 2,037
- 458
Kama usimamizi utakuwa mzuri basi hiyo itakuwa na faida kubwa kwa wanafunzi kwasababu wanafunzi wanatahiniwa kwa masaa 3 tu na hiyo ni 100%. Kwakweli haiwezekani usome kwa miaka 4 au 2 halafu 100% itoke kwa masaa 3.
Hofu yangu ni kwamba usimamizi kama utakuwa sio mzuri basi elimu kwishnei
,,,,ni kweli