Serikali yashindwa kulipa wafanyakazi, yapunguza maslahi kimyakimya

May 21, 2011
33
11
Sasa ni dhahiri, KIKWETE nchi imemshinda. Serikali yake imeshindwa kulipa watumishi stahili zao. Mishahara yashushwa, posho zapukutishwa na hakuna malipo kwa wafanyakazi wapya wanaoanza kazi. Kanuni za Kudumu za Utumishi wa Umma (Standing Orders) zafanyiwa marekebisho.

Kwa mujibu wa Gazeti la Serikali Namba 10 vol. 92 la 11/3/2011 na Government Notice (GN) 104 ya 11/03/2011, Standing Orders za 2009 zimefanyiwa marekebisho ambapo pamoja na mambo mengine sasa mtumishi wa serikali anayeanza kazi HATALIPWA gharama za kuhamisha mizigo yake na posho yake ya kujikimu sasa itakuwa ni kwa siku saba (7) badala ya 14 kama ilivyokuwa kabla ya marekebisho hayo (tazama kif. L.6 na jedwali J/I kolamu ya [vi] na GN 104 ya 11/3/2011). Ikumbukwe kuwa ni mwaka jana tu yaani kuanzia Julai 1, 2010 ndipo (bila shaka ili kupata kura za wafanyakazi kwenye Uchaguzi Mkuu wa Rais na Wabunge 2010) Serikali ilipopandisha viwango vya posho kwa watumishi wapya na wale wanaohamia vituo vipya. Kabla ya Julai 1, 2010 mtumishi alipokuwa akihama alikuwa analipwa TSh 1,000/= kwa tani-km x tani 3 [kwa maafisa] (au tani 1.5 kwa watumishi wa kada ya chini) x km y (umbali kwenda kituo kipya); na posho ya kujikimu kwa mujibu wa stahili yake (siku 14 kwa kuhama na siku 7 kwa watumishi wapya). Lakini Serikali kuanzia Julai 1, 2010 ilipandisha pesa hizo kwa kuongeza tani kuwa 5 kwa maafisa na tani 3 kwa hao wengine (tazama Standing Orders za 2009 zilizoanza kutumia Julai 1, 2010) na posho ya kujikimu kuwa ya siku 14 kwa wote yaani watumishi wapya na wale wanaohamia vituo vipya vya kazi.

Kama hilo halitoshi Serikali tena imeshusha mishahara ya watumishi wa kada mbali2 ikiwa ni pamoja na kada ya afya kimya2 bila kutangazia umma kwa kuunganisha MADARAJA ya mishahara ambapo daraja la juu linateremshwa na kuunganishwa na daraja la chini yake. Kwa mfano kwa watumishi wa afya waliokuwa ktk ngazi ya mshahara TGHS B.1 (425,290/=) sasa wamerundikwa ktk TGHS A. 1 (260,400/=): haya ni maangamizi. Wafanyakazi mko wapi? Na viongozi wa wafanyakazi je, na nyie mko wapi? Nicolas Mgaya uko wapi? Ninamkumbuka mpanganaji marehemu RWEGASIRA wa TRAWU ... Cha ajabu ni kuwa wafanyakazi wa chini ndio wanaoguswa na makato haya. Wakubwa kama vile Wabunge, Mawaziri nk wanazidi kurundikiwa mihela tena pasipo kufanya kazi ya maana.

Wachambuzi wa mambo wanabaini kuwa haya ni matokeo dhahiri ya KIKWETE kushindwa kuongoza nchi na kwamba hajui la kufanya ili kuikwamua nchi kutoka hapa ilipo. Tungoje tuone, bila shaka kuna mengine mengi.
 
na wala huwasikii wakilalamika??? nchii hii!!!!!!!!!!! kazi ipo
 
Hebu nielekeze vizuri.
Kwa ngazi ya watumishi wa kada ya chini ni 3tonne * Tshs 1,000.00 * distance badala ya 1.5tonne *Tshs 150.00* distance & watumishi wa kada ya juu ni 5tonne * Tshs 1,000.00 * distance badala ya 3tonne *Tshs 150.00* distance ambapo kwa ushahidi ni kuwa baadhi ya wizara bado wanatumia rates za zamani kama 3tonne kwa watumishi wa kada ya juu na 1.5tonne kwa watumishi wa kada ya chini. Je hili libakije?

Pia ufafanui hapa "Kama hilo halitoshi Serikali tena imeshusha mishahara ya watumishi wa kada mbali2 ikiwa ni pamoja na kada ya afya kimya2 bila kutangazia umma kwa kuunganisha MADARAJA ya mishahara ambapo daraja la juu linateremshwa na kuunganishwa na daraja la chini yake. Kwa mfano kwa watumishi wa afya waliokuwa ktk ngazi ya mshahara TGHS B.1 (425,290/=) sasa wamerundikwa ktk TGHS A. 1 (260,400/=):" hivi kweli hili linawezekana kumshusha mtu mshahara bila kumshusha cheo au kumpa notice ya yeye kushushwa mshahara?
 
Sasa ni dhahiri, KIKWETE nchi imemshinda. Serikali yake imeshindwa kulipa watumishi stahili zao. Mishahara yashushwa, posho zapukutishwa na hakuna malipo kwa wafanyakazi wapya wanaoanza kazi. Kanuni za Kudumu za Utumishi wa Umma (Standing Orders) zafanyiwa marekebisho.

Kwa mujibu wa Gazeti la Serikali Namba 10 vol. 92 la 11/3/2011 na Government Notice (GN) 104 ya 11/03/2011, Standing Orders za 2009 zimefanyiwa marekebisho ambapo pamoja na mambo mengine sasa mtumishi wa serikali anayeanza kazi HATALIPWA gharama za kuhamisha mizigo yake na posho yake ya kujikimu sasa itakuwa ni kwa siku saba (7) badala ya 14 kama ilivyokuwa kabla ya marekebisho hayo (tazama kif. L.6 na jedwali J/I kolamu ya [vi] na GN 104 ya 11/3/2011). Ikumbukwe kuwa ni mwaka jana tu yaani kuanzia Julai 1, 2010 ndipo (bila shaka ili kupata kura za wafanyakazi kwenye Uchaguzi Mkuu wa Rais na Wabunge 2010) Serikali ilipopandisha viwango vya posho kwa watumishi wapya na wale wanaohamia vituo vipya. Kabla ya Julai 1, 2010 mtumishi alipokuwa akihama alikuwa analipwa TSh 1,000/= kwa tani-km x tani 3 [kwa maafisa] (au tani 1.5 kwa watumishi wa kada ya chini) x km y (umbali kwenda kituo kipya); na posho ya kujikimu kwa mujibu wa stahili yake (siku 14 kwa kuhama na siku 7 kwa watumishi wapya). Lakini Serikali kuanzia Julai 1, 2010 ilipandisha pesa hizo kwa kuongeza tani kuwa 5 kwa maafisa na tani 3 kwa hao wengine (tazama Standing Orders za 2009 zilizoanza kutumia Julai 1, 2010) na posho ya kujikimu kuwa ya siku 14 kwa wote yaani watumishi wapya na wale wanaohamia vituo vipya vya kazi.

Kama hilo halitoshi Serikali tena imeshusha mishahara ya watumishi wa kada mbali2 ikiwa ni pamoja na kada ya afya kimya2 bila kutangazia umma kwa kuunganisha MADARAJA ya mishahara ambapo daraja la juu linateremshwa na kuunganishwa na daraja la chini yake. Kwa mfano kwa watumishi wa afya waliokuwa ktk ngazi ya mshahara TGHS B.1 (425,290/=) sasa wamerundikwa ktk TGHS A. 1 (260,400/=): haya ni maangamizi. Wafanyakazi mko wapi? Na viongozi wa wafanyakazi je, na nyie mko wapi? Nicolas Mgaya uko wapi? Ninamkumbuka mpanganaji marehemu RWEGASIRA wa TRAWU ... Cha ajabu ni kuwa wafanyakazi wa chini ndio wanaoguswa na makato haya. Wakubwa kama vile Wabunge, Mawaziri nk wanazidi kurundikiwa mihela tena pasipo kufanya kazi ya maana.

Wachambuzi wa mambo wanabaini kuwa haya ni matokeo dhahiri ya KIKWETE kushindwa kuongoza nchi na kwamba hajui la kufanya ili kuikwamua nchi kutoka hapa ilipo. Tungoje tuone, bila shaka kuna mengine mengi.

Kwa mara ya kwanza toka uhuru mshahara unashushwa!!!
Na bado; imbeni tena wafanyakazi wat GOT.

Nambari wani eeh Nambari wani ni ccm; Jamani wafanyakazi tieni tieni kwa moyo mmoja nambari wani ni ccm.
Imbeni tena kwa sauti au ni mwite mzee wa presha inashuka presha inapanda awafunde?!!
Cmon you will rip what you sow in october 2010. Mkitetewa CDM wanaleta vurugu. cia0!!!
 
Pia naomba unijulishe waraka ulihalalisha malipo ya kutoka tonne tatu kuja tano na 1.5 kuja 3 tonne. Ukiweza niwekee na link ya hiyo Standing Order ni download ili niwe naperezi peruzi kimtindo.
 
Mbona sijawahi kusikia mshahara unashuswa tangu enzi za TANU, Sasa basi lowasa arudi serikalini.:A S 103:
 
Sasa ni dhahiri, KIKWETE nchi imemshinda. Serikali yake imeshindwa kulipa watumishi stahili zao. Mishahara yashushwa, posho zapukutishwa na hakuna malipo kwa wafanyakazi wapya wanaoanza kazi. Kanuni za Kudumu za Utumishi wa Umma (Standing Orders) zafanyiwa marekebisho.

Kwa mujibu wa Gazeti la Serikali Namba 10 vol. 92 la 11/3/2011 na Government Notice (GN) 104 ya 11/03/2011, Standing Orders za 2009 zimefanyiwa marekebisho ambapo pamoja na mambo mengine sasa mtumishi wa serikali anayeanza kazi HATALIPWA gharama za kuhamisha mizigo yake na posho yake ya kujikimu sasa itakuwa ni kwa siku saba (7) badala ya 14 kama ilivyokuwa kabla ya marekebisho hayo (tazama kif. L.6 na jedwali J/I kolamu ya [vi] na GN 104 ya 11/3/2011). Ikumbukwe kuwa ni mwaka jana tu yaani kuanzia Julai 1, 2010 ndipo (bila shaka ili kupata kura za wafanyakazi kwenye Uchaguzi Mkuu wa Rais na Wabunge 2010) Serikali ilipopandisha viwango vya posho kwa watumishi wapya na wale wanaohamia vituo vipya. Kabla ya Julai 1, 2010 mtumishi alipokuwa akihama alikuwa analipwa TSh 1,000/= kwa tani-km x tani 3 [kwa maafisa] (au tani 1.5 kwa watumishi wa kada ya chini) x km y (umbali kwenda kituo kipya); na posho ya kujikimu kwa mujibu wa stahili yake (siku 14 kwa kuhama na siku 7 kwa watumishi wapya). Lakini Serikali kuanzia Julai 1, 2010 ilipandisha pesa hizo kwa kuongeza tani kuwa 5 kwa maafisa na tani 3 kwa hao wengine (tazama Standing Orders za 2009 zilizoanza kutumia Julai 1, 2010) na posho ya kujikimu kuwa ya siku 14 kwa wote yaani watumishi wapya na wale wanaohamia vituo vipya vya kazi.

Kama hilo halitoshi Serikali tena imeshusha mishahara ya watumishi wa kada mbali2 ikiwa ni pamoja na kada ya afya kimya2 bila kutangazia umma kwa kuunganisha MADARAJA ya mishahara ambapo daraja la juu linateremshwa na kuunganishwa na daraja la chini yake. Kwa mfano kwa watumishi wa afya waliokuwa ktk ngazi ya mshahara TGHS B.1 (425,290/=) sasa wamerundikwa ktk TGHS A. 1 (260,400/=): haya ni maangamizi. Wafanyakazi mko wapi? Na viongozi wa wafanyakazi je, na nyie mko wapi? Nicolas Mgaya uko wapi? Ninamkumbuka mpanganaji marehemu RWEGASIRA wa TRAWU ... Cha ajabu ni kuwa wafanyakazi wa chini ndio wanaoguswa na makato haya. Wakubwa kama vile Wabunge, Mawaziri nk wanazidi kurundikiwa mihela tena pasipo kufanya kazi ya maana.

Wachambuzi wa mambo wanabaini kuwa haya ni matokeo dhahiri ya KIKWETE kushindwa kuongoza nchi na kwamba hajui la kufanya ili kuikwamua nchi kutoka hapa ilipo. Tungoje tuone, bila shaka kuna mengine mengi.
Siamini nilichokisoma.Mungu wangu,are we there.Ndio,iko kazi.
 
MM! KUONGOZA NCHI KWELI KAZI!
Y aani serikali ya JK inaamini inaweza kujiongezea mapato ya maana kwa kuwabana wafanya kazi?
Ubunifu ziro!
 
sitaki kuamini mapema hii habari, na kama itakuwa kweli basi ile rushwa ya nigeria itakuwa ni cha mtoto, jk komaa na msimamo huo huo
 
Hapa siyo ccm wala chadema ni ulafi tu..lini umesikia lema au zito kugoma kuchukua mshahara wa ubunge kwasababu ni mnono mno?wake up tanzanians
 
Umeishiwa hoja lala ujambejambe kuliko kuleta ushuzi wako humu hakuna kitu kamna hicho posho zote zimelipwa na waliopanda mishahara wamelipwa hakuna aliyeshushwa mshahara we kimavi tu unawanga humu kenge weeeee
Wewe wa wapi bwana? Una ushahidi wote wamelipwa? kabla ya kukurupukia kujibu nenda hapa Presidents Office - Public Service Management - Home tafuta tangazo husika. Muulize Hawa Ghasia kwanini watumishi wapya hawapelekwi orientation kama waraka wa mwaka 2005 unavyotaka? Muulize kwanini hajawalipa watumishi waliojiriwa tangu Agosti mwaka jana pesa zao za kujikimu, mizigo na nauli? Kwanini watu wengine walipanda vyeo tangu mwaka juzi lakini hawajalipwa mpaka leo? Vibaya sana kufikiri kwa kutumia tumbo
 
Hali ya serikali kiuchumi kwa sasa ni mbaya-na naamini itazidi ku-deteriorate kadri siku zinavyokwenda
 
Umeishiwa hoja lala ujambejambe kuliko kuleta ushuzi wako humu hakuna kitu kamna hicho posho zote zimelipwa na waliopanda mishahara wamelipwa hakuna aliyeshushwa mshahara we kimavi tu unawanga humu kenge weeeee
Jamii Forum is the home of great thinkers, and thinkers argue, support their arguments with concrete evidence. MOPAOZI sustantiate your claims with evidence. Otherwise, thanks for your comments ... Like you if I were a fool, I would prolong your unreasoned shouts.
 
Katika watu waliochangia kuzorota kwa taifa hili kwa asilimia kubwa na ambao wanasababisha serikali ionekane hovyo zaidi ni watumishi wa Umma ambao miongoni mwao zaidi ya nusu ni fake! hawa qualify na hukuwengi wao wakiwa na vyeti vya ndugu na majirani!

Hawafai hata kulipwa mishara maana sijui wanachofanya, Mkapa alileta mpango wa OPRASS waliogopa sana na kumuomba Kikwete aondoe huo mpango maana walijua wengi wao wamefanya ofisi za serikali kama kijiwe cha kuangalia internet na kunywa kahawa bila tija.

Ndio kikwete aliwaijia juu na wakanywea hawana confidence wengi ni uzembe na ngono ofisi na kusinzia tu!
 
Back
Top Bottom