Serikali yashindwa kulipa wafanyakazi, yapunguza maslahi kimyakimya

Watanzania tulieni mliwe vizuri hadi hapo mtakapopata akili! Shida mzazitaka wenyewe! Mnapiga kura kama walevi, halafu mnalalama kama vichaa!
Shida ni kwamba hata tunapochagua mageuzi kwenye uchaguzi,bado tunashindwa. Tunalazimishwa tu kuamini kuwa tuliyemchagua kashindwa.
 
Hii kali!!!! lakini bwana mkubwa alikuwa Nchini Australia kwa siku kadhaa na wajumbe wengi tu akila raha. Yetu macho na masikio.
 
Kwa nyie wengine mnasave katika serikali gani tofauti na hii? Au ndio upendeleo unaopewa ili muendelee kuwa wajinga wa kuwalinda kuwepo madarakani hawa viongozi wezi wetu?

Mkajisahau kuwa wanawaibia nyie na ndugu zenu na mnatumiwa muwakandamize kuwazuia kupata haki zao na zenu.
Yaani mambo ni mchanganyikochanganyiko kabisaa.. H'shauri yetu sisi mishahara kwanza ilichelewa na kuna watu wamepunjwa lakini haifikii asilimia kubwa kama ndugu aliyepost thread[ingawa huku kuna nguvu kubwa ya upinzani-CUF]. Mi binafsi sijakatwa lakini hata senti.
 
poleni wakuu. wenzenu wenye mishahara miwili, wala hatuna presha, mie hata wakibana mwaka mzima, mamsapu wangu yeye li akaunti limejaa jana, ngoja nikamuombe msimbazi nikapate moja moto moja baridi...poleni zenu wakuu!

Kwa hiyo unaisapoti serikali ya magamba..au siyo..? Unakubali kabisa mtu mwenye kisomo chake alipwe sh 300,000/- tu kwa mwezi hivyo awe mwizi ili aishi na familia.
 
Mapaozi kavamia jukwaa, sasa kama una hoja kinachokufanya utukane ni kitu gani...
 
Kuna taarifa kuwa ma-DED wote wameitwa tena na makaimu hawaruhusiwi..huenda ndiyo hayohayo..
 
wafanyakazi wa nchi hii ndio watumwa wa nchi hii,na mtaendele kuwa msikini mpaka mtakapojitambua
 
Back
Top Bottom