Nitajie maghala angalau 10 nchi nzima yaliyosajiliwa na yanatumika kama masoko ya mazao ndugu. Nipo hapa nakungoja!Sio kweli. Mkukima asijue ghala liko wapi? Atakuwa mkukima wa wapi huyo. Acha hoja za mkato mkato. Kwa mbinu hii mkukima anaweza kunufaika sana kwa kupeleka mazao yake kwenye ghala atakatoa linatoa bei nzuri.