ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 43,893
- 50,621
Serikali imepiga marufuku Wanunuzi kwenda Kununua Mazao ya Wakulima mashambani na kuagiza mazao yote yanunuliwe kwema Maghala yaliyosajiliwa.
My Take: Wenye Stoo na madalali Sasa kazi mnayo..
========
Wizara ya kilimo Tanzania imetoa taarifa kwa umma kuhusu utaratibu wa kuuza, kununua na kurasimisha biashara za mazao nchini ambapo moja ya taratibu ni wafanyabiashara wa mazao kusajili maghala yote binafsi, ya serikali na ushirika na kutoa taarifa za mauzo ya mazao ghalani.
My Take: Wenye Stoo na madalali Sasa kazi mnayo..
========
Wizara ya kilimo Tanzania imetoa taarifa kwa umma kuhusu utaratibu wa kuuza, kununua na kurasimisha biashara za mazao nchini ambapo moja ya taratibu ni wafanyabiashara wa mazao kusajili maghala yote binafsi, ya serikali na ushirika na kutoa taarifa za mauzo ya mazao ghalani.