Gwakisa Mwandule
JF-Expert Member
- Jun 20, 2012
- 521
- 185
Hii serikali ya kihindi kiongozi!Maana wanakunyima shilingi 2000 alafu gharama ya kesi ni 20000000000.Alafu pia hii ni njia ya kupiga hela za walipa kodi kwa ufisadi yaani wanatengeneza matatizo ili waibe pesa kwa kujifanya wanatatua matatizo!Dhaifu anashauriwa na liwalo na liwalo akisaidiw na mr.usingizi wasura chini ya mwamvuli wa wapuuzi ccccm unategemea niini kiitokee?au India?