Serikali yaomba madaktari nje ya nchi, BILIONI 200 ZATENGWA KUWALIPA



Hi Pasco,

Yes! I agree with you; isingewezekana kuwa hii ni operation iliyofanywa na serikali kupitia hao nyoka wake uliowaita "the Operatatives". This incident seems to exactly fit with your theory #2 i.e. quote (“Conspiracy Theory No. 2. Could it be just a "Smear Campaign”?!). It is in deed a smear campaign. Na kwa kiasi kikubwa walio-organise hii operation wamefanikiwa kuwasadikisha waTanzania kuwa serikali inahusika na mkasa uliompata Dr. Ulimboka. Ki-ukweli; Proffessional executioners wa any state security organ/ agency wasingefanya kazi chafu na ya kiwango cha chini kama hii. Watu wamesomea hii maneno, msidharau taaluma. Serikali kama ingeona ulazima wa kumshughulikia kipekee Daktari huyu kwa maana ya “management of a bad element/s”; basi ingefanya hivi muda mrefu kidogo baada ya suluhu/ mwafaka na madaktari na serikali kufikiwa; yaani wakati ambao Dr. Ulimboka na viongozi wenzake wa Jumuia anayoingoza wana mahusiano mazuri na serikali na wanatazamwa na jamii kama mashujaa. Na hii kazi ingefanywa kwa uweledi mkubwa. Lakini pia mambo haya yamepitwa na wakati.

Kuna theory/ dhana ingine kwamba wapo waTanzania walioathirika moja kwa moja na mgomo wa madaktari ule wa kwanza na hata huu unaondelea kwa kufiwa na ndugu/ wagonjwa wao kutokana na kukosa matibabu. Pia pamoja na matatizo ya serikali kuto-respond kwa haraka au kama ambavyo ingetarajiwa na madaktari, baadhi ya wananchi wanakiri kuwa investment/ uwekezaji unaoendelea kufanywa kwenye hospitali ya Muhimbili na zingine nchini kwa mfano; Taasisi ya mifupa MOI na kile kituo kipya cha uchunguzi na tiba za moyo unaonesha kuwa serikali ina nia ya dhati ya kuiboresha hii sekta ya tiba na afya. Kwa kuzingatia ukweli huu, It is therefore natural that some fraction of our population may have the motive to organize some kind of revenge/ vengeful actions against doctors who are seen to be coordinating these migomos. Inawekana baadhi ya wananchi wanawaona hawa doctors kuwa ni wauwaji tu na hawatajizuia kuwachukia..

Katika miji yetu hii ni rahisi sana kufikiri kuwa ukisukumia kila lawama kwa serikali basi public/ wanajamii wataamini na kupokea bila kufanya analysis. Mtazamo huu sio sahihi na nadhani asasi za kiraia na vyama vya siasa wajaribu ku-rationalise (wa-upime) kila ujumbe au lawama wanayoielekeza kwa serikali kuwa itapokelewaje.

Kwa nini hatutaki kujiuliza maswali haya ya msingi:
Fikiria wewe ungepata ajali au ungepigwa na majambazi kama ilivyotokea kwa Dr. Ulimboka! Halafu ukutane na mgomo wa madaktari na vidonda vyako vianze kuharibika bila msaada; unadhani ukimuona daktari anapita na koti lake jeupe halafu “Mwanaharakati/ Mwanasiasa” akuambie adui yako ni serikali na sio huyu daktari; Je! utamuelewa? Wananchi wanaikumbuka Muhimbili yao ya mwaka 1990; na pia wanaiona Muhimbili yao ya leo ilivyoboreshwa, ukiwaambia eti hawataweza kupata matibabu bora au hata yale ya msingi kutoka kwenye hospitali hiyo; Je! Wataelewa?.
Au mgonjwa anaeamini kuwa maisha ya daktari ni bora kuliko ya kwake mwenyewe, kuliko ya Askari polisi, ya Mwalimu au ya Hakimu; akiambiwa datktari huyu hawezi kukutibu kwakuwa ana maisha magumu sana; Je! atakuelewa?

It is very unfortunate kwamba baadhi ya mashirika ya kiraia na vyama vya siasa wanauona mgomo wa madaktari kama fursa ya kuibomoa serikali na kujenga msuli wao wa kisiasa. Ni kweli ni wajibu tena wa kikatiba wa vyama au mashirika haya kuikosoa serilikali, lakini nadhani ni wajibu wao pia kulinda na kutetea haki za watu kuendelea kuishi kwa mujibu wa usajili wa mashirika yao..Nafikiri Asasi hizi kwa pamoja na kwa uzalendo wao zingeweza hata kufungua mashtaka dhidi ya taasisi/ idara za serilkali ambazo zinaonekana kunyanyasa/ kuchelewesha haki za madaktari; na wakati huo huo kuwaomba watumishi wa sekta ya afya kuondelea na kazi wakati maswala yao yakifuatiliwa na Asasi hizi za kiraia au Trade Unions kwa niaba yao, wagonjwa na wananchi wote. Mwenye wajibu mkubwa wa kupanga mishahara na mafao ni sisi wananchi kutegemea na pato la taifa letu, hivyo basi ushirikishwaji wetu ni Muhimu ili kwa pamoja tuone kama madai ya madaktari, walimu n.k. yana mantiki yoyote. Kuna haja kubwa sasa kwa vyomba husika kuweka wazi mishahara na mafao ya watumishi wetu against pato letu la taifa.


Kuna haja kubwa ya kufanya mchanganuo wa uwezo wa serikali kulipa mishahara na mafao ya watumishi wote kwa ujumla na kuona jinsi ya kuweka package za ki-upendeleo za kada maalum kama za afya, anga n.k. Kwani bila mchanganuo kuwaunga tu mkono madaktari bila kuwashauri au kuwasaidia kitaalam kuelewa changamoto za nchi yao ni uwendawzimu na kuvuruga nchi yetu.
WaTanzania wenzangu naomba tupendane, tusaidiane kuikosoa serikali lakini hakuna ulazima wowote wa kufanya hivyo kwa njia ya kutoana roho zetu kwa kunyimana matibabu ambayo angalau kodi yetu imeweza kugharimia kwa uchache. Na Serikali tafadhali tanzua mgogoro huu kisayansi na watanzania tujue kwa vielelezo lipi linawezekana na lipi haliwezekani; na kama kuna wa kuwajibishwa basi na awajibishwe hata kama yeye ni waziri au daktari anaye endelea na mgomo.
Pole Dr. Ulimboka, Mungu akujalie nafuu na madaktari wenzio wasigome kukutibu kwani angalau serikali hii hii imeweka dawa na vifaa vichache vitakavyoweza kuokoa maisha yako. Hongera pia kwa kuwa mwenzetu hautakunywa mvinyo mchungu ulio kwenye kikombe cha mgomo ambao wagonjwa wengine wanaunywa hivi sasa. Madaktari tafadhali msizishikilie mateka roho za wagonjwa against maslahi yenu hata kama ni stahili zenu halili. Haki ya kuishi au uhai imezitangulia haki zote.

Tunakupenda Dr. Ulimboka, Tunawapenda madaktari wote.

Ndg. Kingengame Namani

Hii nilitaka kuiposti kule Jamii Inteligence nikidhani ni theories za kiinteligensia, nikagundua kumbe
kule huwezi kuposti mpaka kwa kibali cha mode, hivyo nimeileta huku jukwaa huru ambalo halihitaji ruhusa ya yeyote kuposti humu!.

Wanabodi,

Wakati tukiendelea kugumia kilichomkuta Dr. Ulimboka, kama kawaida lazima "conspiracy theories' ziwepo ili kujifariji kuwa kuwa aliyefanya hivyo ni nani na kwa malengo gani?.

'Conspiracy theory' Number 1: " It is "inside job"!.
theory hii ambayo ndiyo ya walio wanaamini kabisa ile ni kazi ya serikali, kwa msingi kuwa yeye ndio chanzo cha mgomo toka mwanzo, kwa hiyo, akishughulikiwa, mgomo ndio utamalizika rasmi, hivyo serikali ikawatumia vijana wake waitwao "the oparatives" wamshughulikie vile wataona inafaa, na kweli vijana wakaingia kazini na kilichotokea ni motokeo ya kazi "nzuri" ya vijana wale ambao wameitekeleza vibaya (incomplete), hivyo sasa kui embarass serikali!.

Wanabodi, hakuna ubishi, "the oparatives wapo", na hizo ndizo kazi zao, lakini naomba kutofautiana na simple thinkers wanaoamini its an 'inside job', kwa sababu ili "oparatives" waingie kwenye any 'covert' oparation, lazima kwanza waweke malengo, "what do they want to achieve", ili kujaustify "the motive behind", na kabla ya utekelezaji, lazima wapime, "impact" na "consequences" ndipo huamua "the best way" ya utekelezaji, na kwa vile "they are proffessionals", siku zote hutekeleza with very high degree za 'precise' na leaving no trace behind!.

Kilichomtokea Dr. Ulimboka ni kazi ya "amateures" kwa kuacha loop holes kibao ambapo ukiwa "deep thinker", uta doubt kama ile ni kazi ya "professionals", hivyo inawezekana kabisa sio "inside job", unless kilichofanyika kiwe ni tactics za vijana wa "inside job" to carry out kihovyo hovyo ili ionekana ni amateures na huko kumuacha aishi pia ndio lengo na sio aliachwa kuishi kwa bahati mbaya!.

Normal comon sense inanishawishi nijiulize, kama Dr. Ulimboka ndie adui wa serikali, kama serikali hiyo hiyo imeamua kumshughulikia kwa njia hiyo ili iachieve nini?. Ule msemo wa mchawi, mpe mwanao akulelee kwa imani kuwa hawezi kumdhuru!, hivi inawezekana kweli serikali yetu ndio iliyomshughulikia Dr. Ulimboka na kwa nanma ile?!. Kama ni kweli, hii ni kazi ya "inside job", then for sure, "hii itakuwa ni serikali ya vichaa!".

Conspiracy Theory No. 2. Could it be just a "Smear Caipaign"?!.
Adui wa adui yako ni rafiki yako, kwa vile Dr. Ulimboka ndiye kiongozi wa hii migomo, na hii migomo imeishaipasua sana kichwa serikali, hadi rais Jakaya Kikwete, akautangazia umma kuwa mgomo ule ni wa mwisho, na kwa vile sasa mgomo umeibuka tena na kuwafanya wote waliojifanya kuuepusha tangu mwanzo kuonekana wajinga, akiwemo rais JK, its obvious Dr. Ulimboka ndie alishaonekana ni adui wa serikali na kila mtu anajua, hivyo jambo lolote litakalomtokea Dr. Ulimboka, automatically, fingers zitakuwa pointed kwa serikali kuwa sio mshukiwa bali ni mhusika mkuu!.

Kwa msingi kuwa, Dr. Ulimboka ni adui wa serikali, automatically atakuwa ni rafiki wa maadui wa serikali, hivyo sasa amegeuka target nzuri kwa maadui wa serikali waliomo within, ambao hawaitakii mema serikali yao, wakaamua kumshughulikia Dr. Ulimboka ili kuiembarass serikali kunyooshewa vidole vya lawama kwa utaratibu unaojulikana kama "smear Campagn"!.

Could it be?.

Pole Dr. Ulimboka.

Get well soon!.

Pasco.
​
 
nimeamini serikali hii kweli imefirisika kimawazo na punde itajinyonga yenyewe badala ya kutatua matatizo inajitwisha mzigo ambao hauna maana.
 
Mshahara wa 13 m kwa mwezi ndio madaktari wa bongo wanataka, hili halitekelezeki hata malaika washuke

Hao madaktari wakija watawatibu wagonjwa kwa kutumia kadi za ccm au?
Labda nikusaidi kidogo kwasababu wewe ni vuvuzela tu humu hadi upulizwe ndo utoe sauti

Hiv test kits hakuna, za zamani fake zimezuiwa kutumika, new algarithm inayotakiwa kutumika wafanyakazi hawajawa oriented na wala hizo kits zenyewe hazipo..... Tangu January hiv testing haifanyiki na hasa mikoani, kwa maana hiyo care and treatment ime paralyze completely, this means kama mtubalitakiwa kuanza ART hajaweza kuanza na kama ni kufa watakufa kwa maelfu!!

So, just shut tf up!
Hakuna unalolijua zaidi ya kupiga kelele humu.
 
SERIKALI imeamua kuagiza
madaktari kutoka nchi za nje
watakaochukua nafasi ya
wale wa hapa nchini ambao
wamegoma kuanzia
mwishoni mwa wiki iliyopita.

Habari kutoka katika moja ya
vyanzo vya kuaminika
zimesema kuwa uamuzi huo
wa serikali ulipitishwa katika
kikao cha Baraza la Mawaziri
kilichokutana mjini Dodoma juzi chini ya uenyekiti wa Rais
Jakaya Kikwete.

Habari kutoka ndani ya kikao
hicho zilidai kuwa Rais
Kikwete alikerwa na tabia ya
madaktari kupingana na
serikali licha ya juhudi zote
zilizofanywa kuboresha maslahi yao.

Kwa mujibu wa habari hizo,
kiasi cha sh bilioni 200
kimetengwa
kwa ajili ya
kuwaleta na kuwagharimia
madaktari hao wa nje na pia
baraza limepitisha azimio la kuzungumza na hospitali za
jeshi kama Lugalo na zingine
ndogo kubeba jukumu hilo
kwa sasa pamoja kuagiza
madaktari wastaafu wote
warejee kazini katika kipindi hiki cha mgomo.

Habari zimedai kuwa
madaktari hao wanasadikiwa
watatoka katika nchi rafiki,
zikiwemo India, China, Cuba
na Afrika Kusini, na kwamba
wataziba kikamilifu pengo la wale wa hapa nchini ambao
wamegoma.

Inaelezwa kuwa mara baada
a ya kukamilika na kuanza
rasmi kwa huduma za
matibabu, madaktari wa hapa
nchini waliomo katika mgomo
na wale zaidi ya 200 waliodaiwa kufukuzwa na
serikali kimyakimya,
watalazimika kurejeshwa
kazini kwa masharti makali.

Hata hivyo, uamuzi wa
serikali kuwatimua madaktari
wakati suala lao liko
mahakamani, umewagawa
wabunge.

Baadhi ya wabunge walijaribu
kuhoji suala hilo Bungeni,
lakini walikwama baada ya
Spika Anna Makinda kuzui a
mjadala huo kwa madai kuwa
suala hilo liko mahakamani. Mbunge wa Nzega, Dk. Hamis
Kigwangala, alisema kuwa
kilichofanywa na serikali ni
kiini macho kwani juzi Waziri
Mkuu Mizengo Pinda alisema
serikali haiwezi kutoa kauli dhidi ya madaktari kwa madai
kuwa kuna kesi mahakamani.
"Juzi serikali imesema kuwa
haiwezi kutoa kauli kwa vile
jambo hilo lipo mahakamani,
sasa imewezaje kuwafukuza
madaktari wakati jambo lipo
mahakamani?"
alihoji Dk. Kigwang'ala.

Aliitaka serikali kuondoa kesi
hiyo ili kurejesha majadiliano
kwani ndio njia pekee ya
kukabiliana na mgogoro huo. Mbunge wa Ubungo, John
Mnyika, alimshangaa Spika
Anna Makinda kuzuia mjadala
huo kwani ungeweza
kujadiliwa bila kuingilia uhuru
wa mahakama.

Juzi uongozi wa Hospitali ya
Taifa Muhimbili, uliwafukuza
kazi madaktari 229 walioko
katika mafunzo kwa njia ya
vitendo kutokana na mgomo
unaoendelea wa kushinikiza kulipwa posho zao za mwezi
mmoja.

Hospitali zingine ambako
madaktari wamefukuzwa
kutokana na mgomo huo ni
pamoja na Mbeya na Dodoma. Jeshi lachukua nafasi za
madaktari Wakati huo huo Jeshi la
Wananchi wa Tanzania (JWTZ),
limeanza kutekeleza kwa
vitendo agizo la serikali la
kutoa huduma za kitabibu
kwa wagonjwa kufuatia mgomo wa madaktari nchini. Juzi Waziri Mkuu Mizengo
Pinda akiwa bungeni alisema
serikali imeamua kuwatumia
madaktari waliopo Wizara ya
Afya na Ustawi wa Jamii,
wastaafu na hospitali zote za jeshi kuendelea kutoa huduma
ya matibabu kwa wagonjwa. Msemaji wa JWTZ Kanali
Kapambala Mgawe katika
mahojiano maalum na gazeti
hili, alisema juzi baada ya
Waziri Mkuu Pinda kutoa agizo
hilo, walianza utekelezaji wake ambapo kwa jiji la Dar
es Salaam, hospitali Kuu ya
Jeshi Lugalo Kikosi ya 521,
Mgulani na ile ya Kikosi cha
Navy-Kigamboni na hospitali
zake zote kote nchini zilianza kutoa huduma hiyo bila
vikwazo. "Kwanza naomba umma
uelewe hivi hospitali za JWTZ
hapa nchini kwa asilimia 70
zimekuwa zikiwatibu raia bila
vikwazo vyovyote hivyo agizo
hilo la serikali huenda likaongeza idadi ya wagonjwa
kutibiwa katika hospitali zetu
labda kwa asilimia 90. Mgawe alisema madaktari
wanajeshi wapo kwa ajili ya
kulinda taifa na watu wake,
hivyo akawahakikishia
wananchi wanaougua
kutosita kwenda katika hospitali za jeshi hilo kutibiwa
akidai kuwa hawaoni mantiki
ya daktari kugoma.

Hiyo gharama iko chini ya kiasi wanacholipwa madaktari hawa waliogoma?
 
Hatimaye mambo mengi yaanza kudhihirika, hivi humo ndani ya utawala wale washauri wenye kuona mbali na kupambanua mambo hawapo kabisa, hiki ni kiini macho hiyo hela kwa nini sasa isitatue matatizo hayo, kama kununua vitanda, vitendea kazi ambavyo wataalamu hao wanadai. Sipati picha tuendako, nahisi kama wanatawala bora liende ili ifike 2015, maana sasa fikra zimegota kabisaaaa!! maamuzi haya sijajua ccm yote imecolapse kiasi hicho. wale wazee wameenda wapi ama wanatizama kama sinema fulani! HAKIKA NCHI IMEACHWA KABISA IFE KILA MTU ......
hapo kwenye red mkuu, wakati nasikiliza hotuba ya Mheshimiwa Waziri Mkuu jana TBC alitumia muda mwingi kuelezea jinsi walivyotafuta washauri kwenye suala la kuvunja au kuunganisha jiji la Dar es Salaam. Alisema walipata proposals kutoka kwa connsultants kama wanne hivi lakini baadaye wakaamua kuliacha kama lilivyokuwa zamani (naomba kukosolewa hapa).

Hapo pesa zililiwa na wakaondoka na hakuna kilichofanyika, ndio nikawa naendelea kuelewa kuwa Watanzania (CCM???) ni watu wa aina gani!

 
Hakuna bure hapa duniani wewe!!
Madaktari wajawahi kutosha katika nchi hii, mbona ccm na serikali yake haijawahi kufikiri kuwaleta hata hao wa bure basi iwapeleke kwenye hospitali za wilaya???
Bora kuleta madaktari wa nje kutoka nchi rafiki ambazo zimekubali tena free kuliko kwa hawa madaktari maslahi wa Tanzania wanaotaka mshahara wa milioni 13 kwa mwezi. Waende nje watalipwa huko , ila kwa Tanzania hilo halitekelezeki.

 
Wao wamegoma sisi tuna pesa nani kashinda!na bd tutaelkz wagnjwa wote watbw private hossptl kwa bili zetu
 
upuuzi tu! Watawalipa sh ngapi? Watakaa kwa muda gani? Wakalimani wangapi watawaajiri? Wataishi wapi? The Govt is putting the cart before the horse. The nation's think tank is perforated! Wapuuzi kweli hawa!

Tena wapuuzi haswa. Walishasema "LIWALO NA LIWE" sasa tushaanza kuyaona. Tutaona mengi sana from this WEAK system ya MAGAMBAZZZ!!!!
 
Kabla ya Bunge la Bajeti kuisha. Deni la taifa litakuwa limeongezeka tirioni50, kwani hao madaktari toka china, india ni mkopo. Ha ha ha ha ha...
 
Ungekuwa wewe Rais ungefanyaje? Ungeendelea kuwatazama wananchi wako wakifa na kuendesha mazungumzo yasiyokuwa na tija na madaktari wauwaji? Msidhani wananchi hawazioni jitihada za serikali za kujaribu kuwaridhisha madaktari kwa kadiri ya pato la taifa kwa sasa. Mheshimiwa Rais, Hongera kwa uamuzi huo wa kuleta madaktari kutoka nje kwani cha muhimu kuliko vyote ni uhai. Uhai kwanza raha za madaktari baadae. Serikali Oyeeeee.

Mimi nilidhani Asasi za kiraia na vyama vya siasa bila kujali itikadi vingeungana katika kuwaomba madaktari warudi kazini na wakati huohuo wakawasaidia madaktari kufuatilia haki zao hata ingebidi kwa kuwafungulia mashtaka watendaji/ Idara za serikali zinazokwamisha uboreshaji wa mafao ya watumishi wa afya. Lakini kitendo cha kuunga mkono biashara ya kubadilishana roho na marupurupu kinachofanywa na baadhi ya wanasiasa na asasi za kiraia hakiwezi kuungwa mkono na umma wa watanzania wanyonge ambao hawafaidiki na hizo posho za wanaharakati. Wananchi waliopoteza ndugu zao hawawezi kuelewa lugha ya kuua ndugu zao against welfare ya madaktari. Tufikirivizuri zaid, tuishinikize serikali yetu kupitia/ kuyaangalia makusanyo yetu na kupanga mishahara ya watumishi wote nchini kwa kuzingatia upendeleo wa kada muhimu kama za tiba, anga n.k. Na hili linawezekana hata bila kutoana roho.Kilio cha msingi cha madaktari ni hela, hata kama sasa wanayapooza madai yao kwa kuongezea hili la vitendea kazi; ukweli bado ni uleule. Muhimbili ya leo inao uwezo wa kuokoa maisha ya watu kuliko ilivyokuwa miaka ya 90. Msidanganye watu, msituharibie nchi. Tunayo potential ya kufanya vizuri zaidi hata kwenye suala la malipo ya madaktari. Tushirikiane tutafika. Mheshimiwa Raisi JK tuko pamoja nawe. Vijana acheni kufuru, kifo si kitu kizuri.
 
Nauliza ivii..eti madaktari wa kike kutoka Cuba na watakuja?
Nataka nijitafutiea kaugonjwa katakako rikwaya spesho atensheni.......nimeshochoka kufikiria mambo magumu magumu yasiyo na majibu labda liwazo langu litakuwa katika huo ujio wa wageni.....
 
Hao madaktari wakija watawatibu wagonjwa kwa kutumia kadi za ccm au?
Labda nikusaidi kidogo kwasababu wewe ni vuvuzela tu humu hadi upulizwe ndo utoe sauti

Hiv test kits hakuna, za zamani fake zimezuiwa kutumika, new algarithm inayotakiwa kutumika wafanyakazi hawajawa oriented na wala hizo kits zenyewe hazipo..... Tangu January hiv testing haifanyiki na hasa mikoani, kwa maana hiyo care and treatment ime paralyze completely, this means kama mtubalitakiwa kuanza ART hajaweza kuanza na kama ni kufa watakufa kwa maelfu!!

So, just shut tf up!
Hakuna unalolijua zaidi ya kupiga kelele humu.

Tatizo lako umeathiriwa na mfumo siasa, na huo ugonjwa kikwetu tunauita ' usimbifago', na ukiwa nao huo ugonjwa ni afadhali ufe kuliko kuishi , kwa maana hiyo bora ufe kuliko kuwemo JF huna hujualo wala ulitambualo.
 
Kweli ni jinsi gani wanaonyesha udhaifu wao, yani hapo ndio ulikuwa mwisho wa akili zao kufikiri.
 
200bn!? kuwalipa foreigners badala ya wananchi(madr) wako huo ni ufisadi wa aina yake! kwei sasa liwalo na liwe.
 
Hii serikali mbofu mbofu kweli kweli wanatumia nini kufanya maamuzi yao.
Kama watoto watoto tu.
Ubabe ubabe tu wanamkomoa nani?
Baada yakutatua tatizo moja kwa moja wanataka kutengeneza mazingira ya tegemezi hata kwa kitu walicho nauwezo nacho.
 
Back
Top Bottom