Kama hii habari ni ya kweli basi vyama vya upinzani, wanaharakati na sisi wananchi tunapaswa kuandamana mapema iwezekanavyo kuelekea magogoni kumwambia huyo DHAIFU kuwa hayo sio matumizi sahihi ya kodi zetu na ni usaliti kwetu kwani hayo sio maisha bora aliyotuahidi!!!
Hakika watakuwa wamefikia mwisho wao wa kufikiri - Hivi huyo Mchina/Cuba/Hindi ataongea lugha gani na hawa wagonjwa wetu???
Hakika watakuwa wamefikia mwisho wao wa kufikiri - Hivi huyo Mchina/Cuba/Hindi ataongea lugha gani na hawa wagonjwa wetu???