Serikali yanawa mikono Al-Shabab Mtanzania

Nyinyi wote ni wapumbavu....hapa hatumwongelei mtuhumiwa, tunamwongelea mama yake....anayo haki ya kwenda kumuona mwanawe japo kwa mara ya mwisho kabla ya kuhukumiwa...kitendo cha polisi kutoa majibu ya kisenge eti hawajui kuhusiana na mwanae zaidi ya kuona kwenye magazeti ni upuuzi...ndo maana huyu mama kawafuata akitegemea vyombo ya dola vitashiriki kujua nini kitafuata, kitendo cha raia wa nchi kuhusika na kukamatwa kwenye nchi jirani then serikali haioneshi kufuatilia kinaonesha the way tulivyokuwa weak....serikali weak...eti wanasubiria msamaha kutoka kenya? Huu ni upumbavu, raia wa nchi hii anahaki ya kuja kuserve adhabu yake nchini na lazima vyombo vya dola vinavyojitambua vifuatilie...jinsi huyo askari anavyoongea anaonekana hata kujua hataki, na wala hawataki kufuatilia....weak country motherfucker.....mbona raia wa nchi zingine wakishikwa kwetu serikali zao zinawaomba ili wawashuhurikie wenyewe...kamata mmarekani uone km us government haijamdemand mtu wao ili wamtrial at home.....matako yenu
 
WEWE acha kuchukua hukumu na kutoa judgment kabla ya uhakika wa mambo MAHAKAMA ndo yataHOJI na mahaka ndo yatatoa hukumu...!!! Hadi prove guilty ndo useme, Wee unajua maana ya MAMA au kuwa MZAZI !!
Mie sina haki ya kumhoji mzazi wa mhalifu ..mimi ntamsaidia kwa kupooza nafsi yake na kuridhisha amuone mwanae uso kwa uso!! Ooh God msaidie mama fatuma amuone mwanae kwa njia yeyote iliyo bora. AMIN

Huna akili
 
Kama ni kweli Chagonja ameyasema haya kwamba hawajui chochote zaidi ya kufuatilia kwenye magazeti basi ni aibu sana kwa vyombo vya usalama! Kama huyu kijana ni Mtanzania, Polisi walitakiwa haraka sana mara baada ya kupata taarifa hizo kufuatilia taarifa za mienendo yake alipokuwa shuleni na nyumbani, na mawasiliano yake,na pia kushirikiana naSerikali ya Kenya kwani kuna uwezekano mkubwa akawa sehemu ya magaidi wengi waliopo Tanzania.
 
Nyinyi wote ni wapumbavu....hapa hatumwongelei mtuhumiwa, tunamwongelea mama yake....anayo haki ya kwenda kumuona mwanawe japo kwa mara ya mwisho kabla ya kuhukumiwa...kitendo cha polisi kutoa majibu ya kisenge eti hawajui kuhusiana na mwanae zaidi ya kuona kwenye magazeti ni upuuzi...ndo maana huyu mama kawafuata akitegemea vyombo ya dola vitashiriki kujua nini kitafuata, kitendo cha raia wa nchi kuhusika na kukamatwa kwenye nchi jirani then serikali haioneshi kufuatilia kinaonesha the way tulivyokuwa weak....serikali weak...eti wanasubiria msamaha kutoka kenya? Huu ni upumbavu, raia wa nchi hii anahaki ya kuja kuserve adhabu yake nchini na lazima vyombo vya dola vinavyojitambua vifuatilie...jinsi huyo askari anavyoongea anaonekana hata kujua hataki, na wala hawataki kufuatilia....weak country motherfucker.....mbona raia wa nchi zingine wakishikwa kwetu serikali zao zinawaomba ili wawashuhurikie wenyewe...kamata mmarekani uone km us government haijamdemand mtu wao ili wamtrial at home.....matako yenu

Heeeeeeehhh taratibuu.......watu wamefiwa wanaomboleza na gaidi limekatwa liletwe huku la nini.... wanyongee huko huko kama USA walivyo mfanya osama.... sisi ni wapumbavu wewe werevu wako ni upi??? Kupachika apa matusi kama mpiga debe wa ungalimited??? Jiheshimu umeumia sana makao makuu ya polisi unapajua nendaaa
 
Nyinyi wote ni wapumbavu....hapa hatumwongelei mtuhumiwa, tunamwongelea mama yake....anayo haki ya kwenda kumuona mwanawe japo kwa mara ya mwisho kabla ya kuhukumiwa...kitendo cha polisi kutoa majibu ya kisenge eti hawajui kuhusiana na mwanae zaidi ya kuona kwenye magazeti ni upuuzi...ndo maana huyu mama kawafuata akitegemea vyombo ya dola vitashiriki kujua nini kitafuata, kitendo cha raia wa nchi kuhusika na kukamatwa kwenye nchi jirani then serikali haioneshi kufuatilia kinaonesha the way tulivyokuwa weak....serikali weak...eti wanasubiria msamaha kutoka kenya? Huu ni upumbavu, raia wa nchi hii anahaki ya kuja kuserve adhabu yake nchini na lazima vyombo vya dola vinavyojitambua vifuatilie...jinsi huyo askari anavyoongea anaonekana hata kujua hataki, na wala hawataki kufuatilia....weak country motherfucker.....mbona raia wa nchi zingine wakishikwa kwetu serikali zao zinawaomba ili wawashuhurikie wenyewe...kamata mmarekani uone km us government haijamdemand mtu wao ili wamtrial at home.....matako yenu

Mpumbavu ww hapo usiye na akili tinamu:confused:
 
bmkubwa kakurupuka,awe mpole tu kwa sasa.avuke boda akasadie "karao" wa kenya ktk upelelezi kuhusu mwanaye.CC MK254

kadoda11 Sielewi jinsi utenda kazi wa polisi wenu ulivyo, mbona wasiwatume wapelelezi wao waje hapa Kenya kimya kimya wamhoji jamaa ili wafaulu kuumbua mtandao wote huko Tanzania. Sipati picha eti polisi wenu wamenawa mikono.
 
Last edited by a moderator:
Nimpe pole huyo mama pili inawezekana kachanganyikiwa ila apokee matokeo kuwa alikuwa na mtoto huyo. kwakuwa kaenda mwenyewe na walio uawa si mbuzi mm sioni hata umuhim wa kuendelea kumtajataja mtuhuyo.
 
Huyu mama mwendawazimu nini?akamuone mwanawe ili iweje,alishindwa kumuona Dodoma,kwa dunia ya siku hizi ambayo kila mtu ana uwezo wa simu haiingii akilini mzazi tena mzazi kijana ashindwe hata kuwasiliana na mwanawe kwa zaidi ya miezi mitatu ,pia ni vigumu kwa mzazi kutojua tabia ya mwanao ambaye umeishi naye kwa muda mrefu,kwanza huyo kijana hata Al shababu wenyewe watakuwa wana hasira naye kwa kushindwa kujilipua hatimaye ataimba siri nyingi za wenzake,na mungu ni mkubwa huyo atakuwa sehemu ya kuanzia kwa hapa Tanzania,na aendelee kuminywa makende,sababu angetoka huku angekuja kutuua Watanzania wenzake.
 
kadoda11 Sielewi jinsi utenda kazi wa polisi wenu ulivyo, mbona wasiwatume wapelelezi wao waje hapa Kenya kimya kimya wamhoji jamaa ili wafaulu kuumbua mtandao wote huko Tanzania. Sipati picha eti polisi wenu wamenawa mikono.

Upelelezi ni siri hauweki wazi ila kwa kibali maalum.Asingeweza sema chochote bila approval ambayo itatolewa wakati muafaka itakapoonekana inafaa.
 
sikilizeni nyie wale ambao mnaona huyo mama hana haki au amechelewa au vp nyie kwanza ni watoto hamuna watoto kwahiyo humuji uchungu wa mzazi kwa mwanae ukisema kipindi chote hicho hakumtafuta mwanae wakati alitoroka shule huwezi kujua mawasiliano yao yalikuaje na yule ni mtoto wa kiume sio cho.ko kama wewe ukipotea siku mbili mamako akatoe taarifa polisi la pili ni haki ya msingi kwa raia yoyote serikali yake kumtambua na kumsaidia kama upo uwezekano wa hilo wangapi walibebeshwa kesi kama hizo na hawakua magaidi?au kila kinachosemwa mnaitikia tuu?watoto wa media akili uchwara!!mtaendelea kuburuzwa hivo hivo na ukiendelea kuitetea hiyo serekali yako ipo siku itakuja kuwatokea ktk ukoo wenu then mtaelewa why iliitwa ta.nz.ania badala ya tanganyikeni
 
sikilizeni nyie wale ambao mnaona huyo mama hana haki au amechelewa au vp nyie kwanza ni watoto hamuna watoto kwahiyo humuji uchungu wa mzazi kwa mwanae ukisema kipindi chote hicho hakumtafuta mwanae wakati alitoroka shule huwezi kujua mawasiliano yao yalikuaje na yule ni mtoto wa kiume sio cho.ko kama wewe ukipotea siku mbili mamako akatoe taarifa polisi la pili ni haki ya msingi kwa raia yoyote serikali yake kumtambua na kumsaidia kama upo uwezekano wa hilo wangapi walibebeshwa kesi kama hizo na hawakua magaidi?au kila kinachosemwa mnaitikia tuu?watoto wa media akili uchwara!!mtaendelea kuburuzwa hivo hivo na ukiendelea kuitetea hiyo serekali yako ipo siku itakuja kuwatokea ktk ukoo wenu then mtaelewa why iliitwa ta.nz.ania badala ya tanganyikeni

Ishia hapo hapo, utatukanwa matusi ya nguoni bure. We hujafuatilia jinsi mtoto alivyokuwa na msimamo mkali wa kidini hadi akasimamishwa shule kwa kugoma kuvua kibalaghashia! alikuwa anafikia hatua ya kushikana mashati na waumini wenzake wenye msimamo wa wastani huko msikitini! alikuwa ana matumizi makubwa yasiyo na chanzo cha kufahamika! amekutwa amejificha ndani ya maiti zaidi ya masaa 8 na baadayw akahamia juu ya dari akiwa na mabomu! Alitoweka shuleni na mizigo yake bila kuaga! mpaka hapo unasema ameonewa! na yeye mwenyewe anaeleza wazi wazi! We unaona kwa akili zako uchungu wa huyo mama ni mzito kuliko wa akina mama waliouliwa watoto wao 147! WE UNA TATIZO KICHWANI.
 
Ishia hapo hapo, utatukanwa matusi ya nguoni bure. We hujafuatilia jinsi mtoto alivyokuwa na msimamo mkali wa kidini hadi akasimamishwa shule kwa kugoma kuvua kibalaghashia! alikuwa anafikia hatua ya kushikana mashati na waumini wenzake wenye msimamo wa wastani huko msikitini! alikuwa ana matumizi makubwa yasiyo na chanzo cha kufahamika! amekutwa amejificha ndani ya maiti zaidi ya masaa 8 na baadayw akahamia juu ya dari akiwa na mabomu! Alitoweka shuleni na mizigo yake bila kuaga! mpaka hapo unasema ameonewa! na yeye mwenyewe anaeleza wazi wazi! We unaona kwa akili zako uchungu wa huyo mama ni mzito kuliko wa akina mama waliouliwa watoto wao 147! WE UNA TATIZO KICHWANI.

hebu elewa nilichoandika ww km hayo aliofanya ni yy ila wapo waliosingiziwa wapo usikatae na huyo mama anayo haki na mwanae elewa hilo acha chuki binafsi
 
hebu elewa nilichoandika ww km hayo aliofanya ni yy ila wapo waliosingiziwa wapo usikatae na huyo mama anayo haki na mwanae elewa hilo acha chuki binafsi

Wale 147 marehemu hawana haki ya kuishi or? we mdanganye aende halafu hao wakikuyu na wajalu na wasomali waliouliwa watoto wao wamuone sasa, ndio utajua wakenya sio wabongo kwa hasira.
 
Wale 147 marehemu hawana haki ya kuishi or? we mdanganye aende halafu hao wakikuyu na wajalu na wasomali waliouliwa watoto wao wamuone sasa, ndio utajua wakenya sio wabongo kwa hasira.

kama kosa kafanya tayari ameshafanya ila kuna haki ya serikali kwa raia wake kama wadau walivoeleza hapo juu ndo inayozungumziwa hatumtetei kuwa hajafanya kosa au kasingiziwa hilo halituhusu sisi
 
Uchungu wa mwana (mtoto) aujuae MAMA.... lakini liBaba halina hata habari !! POLE mama !! Magazetini@dragoon@The Bleiz@mcharo son

Kwa hiyo unataka kusema uchungu Wa 150 aujuae ni garrisa et? Baba anajutia kuona Toto liko advance badala ya kusoma linaenda kuua wasomi eti dini imeelekeza.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom