Mto Songwe
JF-Expert Member
- Jul 17, 2023
- 6,135
- 12,574
Napendekeza serikali ya Tanzania ichukue hatua katika haya mapendekezo yangu.
1. Napendekeza serikali ya JMT itoe visa free kwa raia kutoka India, China, Japan na Korea
- katika mchakato wa visa free kwa mataifa mbalimbali tuanze na hayo mataifa manne kwanza kwa miaka 20 ya mwanzo.
2. Napendekeza serikali itoe uraia wa hadhi maalum kwa raia kutoka katika hizo nchi nne ( India, China, Korea, Japan )
- Hapa kutakuwa na vigezo vya kupata huo uraia wa hadhi maalum ambae raia kutoka katika hayo mataifa aliye kidhi vigezo fulani ambavyo serikali itaweka ikiwemo kiwango cha fedha alicho nacho, umuhimu kiasi gani alio nao kwa Tanzania n.k
- Hapa huyu raia atakuwa na uwezo wa kuwa na uraia wa nchi mbili yaani Tanzania na hiyo nchi aliyotoka( India, China, Japan, Korea )
Mapendekezo yangu yamejikita zaidi katika kupewa uraia wa hadhi maalum na visa free kwa raia kutoka China, India, Japan na Korea
1. Napendekeza serikali ya JMT itoe visa free kwa raia kutoka India, China, Japan na Korea
- katika mchakato wa visa free kwa mataifa mbalimbali tuanze na hayo mataifa manne kwanza kwa miaka 20 ya mwanzo.
2. Napendekeza serikali itoe uraia wa hadhi maalum kwa raia kutoka katika hizo nchi nne ( India, China, Korea, Japan )
- Hapa kutakuwa na vigezo vya kupata huo uraia wa hadhi maalum ambae raia kutoka katika hayo mataifa aliye kidhi vigezo fulani ambavyo serikali itaweka ikiwemo kiwango cha fedha alicho nacho, umuhimu kiasi gani alio nao kwa Tanzania n.k
- Hapa huyu raia atakuwa na uwezo wa kuwa na uraia wa nchi mbili yaani Tanzania na hiyo nchi aliyotoka( India, China, Japan, Korea )
Mapendekezo yangu yamejikita zaidi katika kupewa uraia wa hadhi maalum na visa free kwa raia kutoka China, India, Japan na Korea