Ndugu zangu watanzania nimekuwa nikijuuliza maswali mengi kuhusu huyu Mtu au Mfu anayetiwa[/COLOR] Kikwete, ingawa wengine wanamuiita Fisadi, Vasco Da Gama, christopher columbus, Mtalii na majina mengi ambayo wengi wenu mmekuwa mkimuita. Tangu achukuwe nchi 2005 na kupora nchi 2010 kumekuwa na malalamiko mengi tu kuhusu huyu bwana Kikwete kuwa ameiingiza nchi yetu kwenye matatizo mengi kama vile kashfa za Rushwa ambazo hata yeye anahusika na wizi wa kodi za Watanzani, Mikataba feki ya madini ambayo yanawanufaisha Wageni kuliko Wazawa na Taifa, Richimond & Dowans, EPA, KAGODA na majanga mengine yanayo iandama Nchi Yetu Nimekuwa nikijiuliza kuwa huyu KIKWETE NI JANGA LA TAIFA na kutuletea haya Matatizo yote halafu ni Jeuri anakebehi na kauli za kukejeli kwa wananchi, Speech zake zipo Hopeless kama yeye Mwenye alivyo. Kwa nini hajiuzulu? Nisaidieni wana JF:A S 13:
Please rekebisha hilo neno la blue. ni baya!!