Hivi kati ya makamba na JK nani mweye nafuu. Mimi nadhani ni makamba kwani anaweza kusimama jukwaani na kueleza ujinga wake kuliko JK ambaye amekaa kimya kama bubu. Kwa hali ilivyo CCM wanaweza kumtangaza rasmi makamba kama raisi wao kwani raisi wa ccm waliye muweka kwa kura za wizi amekuwa bubu.