ndg wana JF: Nani alaumiwe
1.Sisi Watanzania maana tuliichagua
2. Maaskofu kwa kusema chaguo la mungu
3. Tume ya Uchaguzi umetufikisha hapa
4. Watendaji wa serikali kumgeuka Rais - Hawatimizi wajibu
5. Mawaziri na Wabunge kuwagawanyika kimaslahi
6. Viongozi wengi kuwa na biashara kama vile Shell za mafuta, Masamtrela, Viwanda vya sukari, Makampuni ya Simu, Kuwa na tender za kampuni zao
7. Wana Siasa kujihusisha na akili za watz kama vile kukosa kwa umeme, maji wanatumia hiyo njia kutunyonya zaidi
TUFANYE NINI ILI TUPIGE HATUA
1.Sisi Watanzania maana tuliichagua
2. Maaskofu kwa kusema chaguo la mungu
3. Tume ya Uchaguzi umetufikisha hapa
4. Watendaji wa serikali kumgeuka Rais - Hawatimizi wajibu
5. Mawaziri na Wabunge kuwagawanyika kimaslahi
6. Viongozi wengi kuwa na biashara kama vile Shell za mafuta, Masamtrela, Viwanda vya sukari, Makampuni ya Simu, Kuwa na tender za kampuni zao
7. Wana Siasa kujihusisha na akili za watz kama vile kukosa kwa umeme, maji wanatumia hiyo njia kutunyonya zaidi
TUFANYE NINI ILI TUPIGE HATUA