kwamtoro
JF-Expert Member
- Nov 15, 2010
- 4,922
- 3,234
Nimepita kwa watu kadhaa hasa sehemu za viwanda kwa walalahoi wengi, kuwadadisi juu ya swala la sheriha ya kutokutoa mafao mpaka umri wa kustafu kufika ya mifuko ya ifadhi ya Jamii, NSSF na kadhalika.
Watu wamekuwa na hasira sana na serikali. Wengi wakisema, liwalo na liwe.
Namuomba Rais, Wabunge na mamlaka zote zibadilishe sheria hii ili mifuko ya ifadhi ya jamii iwape elimu kwanza wafanyakazi ndio iwe sheria.
Watu wamekuwa na hasira sana na serikali. Wengi wakisema, liwalo na liwe.
Namuomba Rais, Wabunge na mamlaka zote zibadilishe sheria hii ili mifuko ya ifadhi ya jamii iwape elimu kwanza wafanyakazi ndio iwe sheria.