That is true
Didn't vote for jk I made a mistake during 2005. Never ever again
Give me a break please.............!!!!!!! serikali tukufu?? utukufu wake uko wapi????? .....you are not serious kama alivyo huyo Kikwete wako!!
- wanaong'ang'ania madaraka ( wamechakachua ili wabaki ikulu/wamekatalia umeya wa Arusha, Mbeya, Kigoma nk) ndio unawaita watukufu?
- Wanaotapeli kupitia Dowans ndio watukufu?
- Wanaoua wananchi wao wanaodai haki badala ya kuwalinda na mali zao ndio watukufu?
- Wanaoziba masikio na kufanya usanii wakati wananchi wanadai haki zao za kikatiba ndio Watukufu?
- Wanao ongoza nchi bila dira wala utashi wa wanao ongozwa ndio unawatetea na kuwaita watukufu?
- .........mapungufu yao ni mengi na wala hawastahiki hata kuitwa viongozi wetu!!!!
Du Hapo tusubiri 2015 kwani kelele za mlango hazimzuii mwenye nyumba kulala
Uwanja wa Jamhuri walimuelewa aliposema Dowans hawatalipwa
Pia UDOM walikuwepo kwa hiyo wanaotumia facebook na mitandao kumuondoa kipenzi cha wengi watulie :A S thumbs_down:
When putting out propaganda, and this is propaganda, one must always make sure he himself does not believe it. Humu JF hakuna tena analysis kilichopo ni propaganda tena zakipuuzi kweli kweli. Nyie watu acheni bangi. Kama mnataka kupiga hatua, hakikisheni propaganda zenu zinaendana na ukweli. This thread is nonsense.
Kikwete hana uwezo wa kufikiria hayo unayofikiria!Daaaa ningekuwa mimi ndo Kikwete ninge Re-think. Then nahisi kuna hatua ingine ningeichukua baada ya ku Re-think.