Serikali ya Mh JK inaonekana kushindwa kila mahali na katika sekta zote....

Emma Lukosi

JF-Expert Member
Jul 22, 2009
929
147
Hali ya nchi imekuwa tete,kila idara ya utumishi wa umma imeingia kwenye mgomo,kinacho lalamikiwa ni madai ya msingi ya haki za watumishi,alkini serikali inayachukulia madai haya kama kero na kelele za mpangaji hazimzui mwenye nyumba kukosa usingizi.Tumeona mgomo wa madaktari na sasa mgomo wa waalimu.

Imekuwa ni kawaida sasa kwa serikali yetu sikivu kushindwa kutumia usikivu wake kukaa meza moja na watumishi wake ili kupata suluhisho la madai yao.Suluhisho limekuwa ni mahakama huku serikali ikitumika kutoa kauli ambazo mwisho wa siku mhimili wa mahakama uhitimisha kwa hukumu iliyo kwisha kutamkwa na serikali. Nini hatari yake,hatari yake ni mgongano wa madaraka na kuingilia uhuru wa mahakama.

Sisi sote ni mashahidi,tumeona serikali sikivu mara zote ikishindwa na kukimbilia mahakamani wakati huo huo kesi haijatajwa wao hukimbilia kwenye media na kutangaza migomo hiyo ni batili.Kuna haja gani basi ya kukimbilia mahakamani ikiwa tayari imeshatekeleza hukumu itakayo tolewa na mahakama? Hali kama hii athari yake kubwa ni uvunjivu wa amani tuliyo jivunia kwa miongo zaidi ya mitano.Ifike wakati kila mhimili mmoja uheshimu mhimili mwingine ili kulinda mgongano wa kimadaraka unao fanywa na serikali yetu sikivu.

Serikali hiyo hiyo sikivu kupitia kiongozi wa mhimili wa bunge imekuwa ikitumia rungu lake ipasavyo kuhakikisha hoja zote zinazo husiana na migogoro ya watumishi na serikali haijadiliwi bungeni kwa kigezo cha hoja hiyo iko mahakamani ilihali serikali ikitoa hukumu nje ya mahakama.Naomba wakuu wa JF tuliangalie hili kwa umakini ili kunusuru uchafuzi huu wa hali ya hewa kwa mgongano wa madarakaw unao fanywa makusudi na serikali yetu sikivu kwa mustakabali wa amnai ya nchi yetu.

Naomba kuwakilisha.

Serikali ya Mh JK inaonekana kushindwa kila mahali na katika sekta zote....

1. Haiwezi kulipa waalimu
2. Haiwezi kulipa madaktari
3. Haiwezi kuwajibisha mafisadi, inaishia kuwatetea
4. Haiwezi kutetea wanyonge zaidi ya kuwasaliti na kuwatekeleza
5. Haiwezi hata kulitumia vema jeshi la polisi
6. Haiwezi kuunda tume huru ya kuchunguza matukio ya kigaidi kama ya Dr Ulimboka, Zombe nk
7. Haiwezi kununua CT scan pale muhimbili na hospitali za rufaa
8. Haiwezi kuboresha miundombinu ya umeme na maji.... iliyopo ni tangu wakati wa Mwl Nyerere (RIP)
9. Haiwezi kusajili vyombo salama vya usafiri majini
10. Haiwezi kuwalipa mafao wazee wa afrika mashariki mpaka wanatuvulia nguo pale serander bridge
11. Haiwezi haiwezi.....

wadau Nisaidieni kujaza 'haiwezi' nyingine za serikali ya huyu jamaa
 
Mbona unashindwa kumalizia umeshatoka kupata ndovu mbilitatu unavyoonyesha.Niambia lipi kubwa kati ya hayo lilishawahi kutekelezwa kikamilifu katika vipindi vyote vya maraisi hapa TZ.
Jk jembee wewe.
Mwacheni ****** watu amalize muda wake na kwahabari yenu anamwaga lami kila barabara ya mkoa hapa tz.mnataka awafanyie nini.
Tatizo la wa tz hata ukiwamwagia asali hawatosheki
 
Tunataka Chuo kikuu kila mkoa
Tunataka elimu sawa kwa wote
Tunataka mafisi (mafisadi) wote waondolewewe
Tunataka madini yetu
Tunataka kulipwa kwa madaktari
Tunataka kulipwa kwa walimu
Nataka urith wangu wa EAC.
Mbona unashindwa kumalizia umeshatoka kupata ndovu mbilitatu unavyoonyesha.Niambia lipi kubwa kati ya hayo lilishawahi kutekelezwa kikamilifu katika vipindi vyote vya maraisi hapa TZ.
Jk jembee wewe.
Mwacheni ****** watu amalize muda wake na kwahabari yenu anamwaga lami kila barabara ya mkoa hapa tz.mnataka awafanyie nini.
Tatizo la wa tz hata ukiwamwagia asali hawatosheki
Tunataka Chuo kikuu kila mkoa
Tunataka elimu sawa kwa wote
Tunataka mafisi (mafisadi) wote waondolewewe
Tunataka madini yetu
Tunataka kulipwa kwa madaktari
Tunataka kulipwa kwa walimu
Nataka urith wangu wa EAC.
 
Naomba kufahamu nini vipaumbele vyetu maana kila sekta watu wanalalamika
 
Mbona unashindwa kumalizia umeshatoka kupata ndovu mbilitatu unavyoonyesha.Niambia lipi kubwa kati ya hayo lilishawahi kutekelezwa kikamilifu katika vipindi vyote vya maraisi hapa TZ.
Jk jembee wewe.
Mwacheni ****** watu amalize muda wake na kwahabari yenu
anamwaga lami kila barabara ya mkoa hapa tz.mnataka awafanyie nini.
Tatizo la wa tz hata ukiwamwagia asali hawatosheki

Hapooooooooooooooooooo kwenye red. Chukua jembe kalime hiyo lami tuone kama utavuna mpunga ili kupunguza bei ya mchele!
 
WanaJF, nimefuatilia kwa makini migomo yote miwili ya madaktari na waalimu, nimejiridhisha kuwa wamefuata taratibu zote lakni kesi zao zilipofika mahakamani serikali imeshinda. Nimekumbuka na maneno ya mheshimiwa Lisu kuwa majaji wanateuliwa watu wasio na sifa. Na tunajua kibinadamu ukiteuliwa wakati huna sifa lazima utaufyata mkia tu na kumtumikia aliyekuteua. Ninamalizia kwa kusema kuwa as long as JK ni rais wa nchi hii watu mnaodhani mahakama itawasaidia sahauni mpaka may be after 2015. JK ni mbabe sana japo anaonekana kuchekacheka. Ni JK huyu huyu aliymtaiti jaji Mkuu mstaafu Ramadhani hadi akakubali kuivua mahakama haki yake ya msingi ya kutafsiri sheria kwenye ile issue ya mgombea binafsi. Gone are Mkapas day wakati serikali ilikuwa inabwagwa mara kibao mahakamani. Mnaonaje?
 
Uanachama CCM ni hatua muhimu ya awali katika ujenzi wa tabia chafu kimaadili.
Ubunge CCM ni hatua ya pili inayotoa fursa katika kukomaza tabia chafu kimaadili.
Uwaziri ni tuzo kwa kufuzu katika fani ya kujenga na kutetea tabia chafu kimaadili.
Uraisi ni kulinda na kusimamia, kwa kutumia vyombo vya dola, tabia chafu kimaadili.


Watanzania, chini ya CCM, tumeliwa!
 
Kabisaa tunatakiwa kupata mbadala, mahakama inajifanya waalimu wameshindwa na walipe fidia, watalipa fidia na itaonekana balabala kwenye matokeo ya shule za serikali yanayokuja.
 
Muulize vizuri aliahidi nini atakwambia hajui,
muulize kanini Tz maskini atakwambia hajui,
Muulize Znz ni nchi au si nchi atakwambia hajui,
Muulize aliyemteka Dr Ulimboka ni nani, na serikali imefanmya nini atakwambia hajui,
Muulize anaenda safari za nje kufanya nini atakwambia hajui,
Muulize anafanya kazi gani akiwa ofisini atakwambia hajui
....
...
N.k.

Huyu ni JK zaidi ya umjuavyo!
 
Mwandishi;Kwa nini nchi yako Tanzania pamoja na utajiri wote wa watu,ardhi, maji mengi, madini na mbuga za wanyama lakini bado ni masikini?

Kikwete; Angazi! Hata mimi najiuliza hivyohivyo sielewe kwa nini watu wa nchi yangu ni malofa, labda ndugu mwandishi nisaidie jibu.
 
Hali ya nchi imekuwa tete,kila idara ya utumishi wa umma imeingia kwenye mgomo,kinacho lalamikiwa ni madai ya msingi ya haki za watumishi,alkini serikali inayachukulia madai haya kama kero na kelele za mpangaji hazimzui mwenye nyumba kukosa usingizi.Tumeona mgomo wa madaktari na sasa mgomo wa waalimu.

Imekuwa ni kawaida sasa kwa serikali yetu sikivu kushindwa kutumia usikivu wake kukaa meza moja na watumishi wake ili kupata suluhisho la madai yao.Suluhisho limekuwa ni mahakama huku serikali ikitumika kutoa kauli ambazo mwisho wa siku mhimili wa mahakama uhitimisha kwa hukumu iliyo kwisha kutamkwa na serikali. Nini hatari yake,hatari yake ni mgongano wa madaraka na kuingilia uhuru wa mahakama.

Sisi sote ni mashahidi,tumeona serikali sikivu mara zote ikishindwa na kukimbilia mahakamani wakati huo huo kesi haijatajwa wao hukimbilia kwenye media na kutangaza migomo hiyo ni batili.Kuna haja gani basi ya kukimbilia mahakamani ikiwa tayari imeshatekeleza hukumu itakayo tolewa na mahakama? Hali kama hii athari yake kubwa ni uvunjivu wa amani tuliyo jivunia kwa miongo zaidi ya mitano.Ifike wakati kila mhimili mmoja uheshimu mhimili mwingine ili kulinda mgongano wa kimadaraka unao fanywa na serikali yetu sikivu.

Serikali hiyo hiyo sikivu kupitia kiongozi wa mhimili wa bunge imekuwa ikitumia rungu lake ipasavyo kuhakikisha hoja zote zinazo husiana na migogoro ya watumishi na serikali haijadiliwi bungeni kwa kigezo cha hoja hiyo iko mahakamani ilihali serikali ikitoa hukumu nje ya mahakama.Naomba wakuu wa JF tuliangalie hili kwa umakini ili kunusuru uchafuzi huu wa hali ya hewa kwa mgongano wa madarakaw unao fanywa makusudi na serikali yetu sikivu kwa mustakabali wa amnai ya nchi yetu.

Naomba kuwakilisha.

Na bado, 2015 ni mbali wanatamani ifike. Walidhani walipo kuwa wanachakachua kura ili kwenda Ikulu ni kula bata tu! Watashika adabu yao. Mwisho wa siku chuichui nao watagoma..nadhani ndio utakuwa mwisho wa ******..sijui atakuwa mkimbizi wapi..
 
Serikali ya JK imeshindwa hata kulinda MIPAKA ya nchi yetu.

Refer the recent claims by Malawians that the WHOLE LAKE NYASA belongs to Malawi and they will continue with oil and gas exploration with impunity.
 
Back
Top Bottom