Tangu dunia imeumbwa wamisionari wa kikristo kutoka ulaya walikuja na kujenga huduma mbali mbali za kijamii kwa kushirikiana na makanisa mbalimbali. Walijenga shule, hospitali makanisa, na kadhalika, walipoondoka waliwaachia madhehebu mbali mbali ya kikristo. Serikali ya awamu ya kwanza iliamua kuzitaifisha kwa manufaa ya umma, lakini wakristo hawakuacha mtindo wao wakujenga huduma za jamii! Waliendelea na mtindo ule ule walioacha wakoloni wa kikristo,
Serikali haikuweza kujenga huduma za jamii badala yake walianza kuomba ushirika na taasisi za kikristo baada ya wao kushindwa kujenga,
Malalamiko ya waislam kwamba serikali inawapa kanisa hela yanatoka wapi Wakati serikali yenyewe ndo inaenda kuomba ubia ktk taasisi za kikristo?
Serikali ianze mkakati wa kujenga huduma zake na zile za makanisa wajitoe ili hawa wanaolalamika waache.
Tukumbuke kuwa mkoloni wa kiarabu hakuwa na mpango wa kujenga huduma za jamii zaidi ya misikiti na madrasa!
Serikali haikuweza kujenga huduma za jamii badala yake walianza kuomba ushirika na taasisi za kikristo baada ya wao kushindwa kujenga,
Malalamiko ya waislam kwamba serikali inawapa kanisa hela yanatoka wapi Wakati serikali yenyewe ndo inaenda kuomba ubia ktk taasisi za kikristo?
Serikali ianze mkakati wa kujenga huduma zake na zile za makanisa wajitoe ili hawa wanaolalamika waache.
Tukumbuke kuwa mkoloni wa kiarabu hakuwa na mpango wa kujenga huduma za jamii zaidi ya misikiti na madrasa!