morenja
JF-Expert Member
- Feb 3, 2012
- 4,519
- 1,851
Warudishe kwanza dhahabu zetu almasi watulipe fidia kwa kuendesha biashara ya utumwa, halafu tupige hesabu pesa ya MoU mrudishe na riba ya 50%.
Hivi walioendesha utamwa kwa sana ni wazungu au waarabu ?