Serikali kukataza wazee wa kimila wasifanye matambiko mlimani ndio chanzo cha mafuriko ya Manyara

sky soldier

JF-Expert Member
Mar 30, 2020
5,408
19,033
Shida ya waafrika ni pale tulipooshwa akili kwamba mila zetu zote zimepitwa na wakati tufate za wazungu / waarabu, Mila zetu tumeanza kuzipiga vita wenyewe na madhara ndio haya.

Hili janga lipo miaka mingi lakini kuna wazee wa kimila walikuwa wanafanya matambiko Kulipooza, yanatokea mafuriko ya kawaida tu ambayo hayaleti madhara kwa jamii.

Ni kitu kilikuwepo tangu miaka ya mababu huko Na kuna muda ukifika ni lazima wazee wa kimila waende mlimani wakafanye mambo yao ili kulinda jamii, kwa sasa huko milimani kuna taasisi za kiserikali za misitu / wanyama wanawakataza wazee wasifanye mambo Yao mara wadai kibali

Sikuhizi serikal imeingilia mila za watu, wazee wakienda mlimani kufanya mambo yao wanaambiwa hamruhusiwi ,mara mnakibali ? wazee wakaondoka na matokeo yake ndio haya.

........................................................
USHAURI:

Taasisi na viongozi waheshimu mila za asili za kuzuia majanga kama haya, Sehemu kama Mbeya mambo ya kimila huwa yanafanywa wazi kabisa mlima wa Mbalizi na mlima wa Nyoka, ni maeneo ambayo kuna kipindi kikifika kunakuwa na ajali nyingi na suluhisho huwa ni kutambika ndio ajali zinaisha, wachunhaji na maustadh nao huwa wanapewa nafasi lakini hii hali huwa inajirudia.

Nimpongeze waziri mkuu Kassim Majaliwa aliwahi kuruhusu Wazee wa kimila wafanye Mila zao kwenye eneo lililokuwa lina matatizo, ni muislamu lakini anaheshimu mila za watu. Uongozi wake hauingizi dini yake kuleta mgongano wa imani.
 
Shida ya waafrika ni pale kuaminishwa mila za wazungu/waarabu kuwa ni za ki Mungu na Mila za waafrika ni zote za kichawi.

Hili janga lipo miaka mingi lakini kuna wazee wa kimila walikuwa wanafanya matambiko Kulipooza, yanatokea mafuriko ya kawaid tu ambayo hayaleti madhara kwa jamii.

Ni kitu kilikuwepo tangu miaka ya mababu huko Na kuna muda ukifika ni lazima wazee wa kimila waende mlimani wakafanye mambo yao ili kulinda jamii, kwa sasa huko milimani kuna taasisi za kiserikali za misitu wanawakataza wazee wasifanye mamb Yao mara wadai kibali

Sikuhizi serikal imeingilia mila za watu, wazee wakienda mlimani kufanya mambo yao wanaambiwa hamruhusiwi ,mara mnakibali ? wazee wakaondoka na matokeo yake ndio haya
Daaaa kweli bado hatujasema
 
Twende kimantiki zaidi;

Miungu ya waarabu(Yahweh, Allah) tunayoiabudu saivi, si ndo miungu ya kweli? Hiyo ya mababu si ni nguvu za giza? Sasa kwa muktadha wako unataka turudi zamani kwasababu hatuwezi changanya miungu ya sasa na ya zamani....

Tafakuri hii inaniaminisha kwamba aidha bandiko lako ni la uongo, miungu ya sasa haina nguvu, ama dini kwa ujumla ni hadithi.
 
Mizimu ina nguvu sana,watu hamjasafiri humu nyie,nendeni mikoani ndani ndani huko,mkaone nguvu za mizimu,ikikuamulia naapa hutoboi
 
Shida ya waafrika ni pale tulipooshwa akili kwamba mila zetu zote zimepitwa na wakati tufate za wazungu / waarabu, Mila zetu tumeanza kuzipiga vita wenyewe na madhara ndio haya.

Hili janga lipo miaka mingi lakini kuna wazee wa kimila walikuwa wanafanya matambiko Kulipooza, yanatokea mafuriko ya kawaida tu ambayo hayaleti madhara kwa jamii.

Ni kitu kilikuwepo tangu miaka ya mababu huko Na kuna muda ukifika ni lazima wazee wa kimila waende mlimani wakafanye mambo yao ili kulinda jamii, kwa sasa huko milimani kuna taasisi za kiserikali za misitu / wanyama wanawakataza wazee wasifanye mambo Yao mara wadai kibali

Sikuhizi serikal imeingilia mila za watu, wazee wakienda mlimani kufanya mambo yao wanaambiwa hamruhusiwi ,mara mnakibali ? wazee wakaondoka na matokeo yake ndio haya.

........................................................
USHAURI:

Taasisi na viongozi waheshimu mila za asili za kuzuia majanga kama haya, Sehemu kama Mbeya mambo ya kimila huwa yanafanywa wazi kabisa mlima wa Mbalizi na mlima wa Nyoka, ni maeneo ambayo kuna kipindi kikifika kunakuwa na ajali nyingi na suluhisho huwa ni kutambika ndio ajali zinaisha, wachunhaji na maustadh nao huwa wanapewa nafasi lakini hii hali huwa inajirudia.

Nimpongeze waziri mkuu Kassim Majaliwa aliwahi kuruhusu Wazee wa kimila wafanye Mila zao kwenye eneo lililokuwa lina matatizo, ni muislamu lakini anaheshimu mila za watu. Uongozi wake hauingizi dini yake kuleta mgongano wa imani.
Kwenye suala la imani, mimi natetea haki za watu wote kuamini wanavyotaka, hizi ni haki za msingi, za kikatiba, za kiutu.

Uhuru wa kuabudu, au kutoabudu, upo kwenye katiba ya Tanzania. Upo katika Universal Declaration of Human Rights tangu December 10 1948. Kumkataza mtu kufanya tambiko lake la jadi ni kumnyima haki yake ya kikatiba na kiutu.

Katazo hili halina tofauti na kumkataza mtu kwenda msikitini au kanisani.

So, unless walikuwa wanasababisha tatizo (mfano, kuharibu vyanzo vya maji) sioni kwa nini watu wengine waruhusiwe kwenda makanisani na misikitini, halafu wengine wazuiwe kwenda sehemu yao ya ibada na matambiko.

Having said that, tukiondoka kwenye imsni tu, na kwenda kutafuta ukweli, matambiko, ibada, maombi, sala, vyote hivi ni jitihada za kujifariji tu. Vyote hivi haviwezi kuzuia majanga ya kiasili.

Inabidi tusome sayansi na kujua vyanzo vya majanga ya kiasili kisayansi, na kujiepusha nayo.
 
Back
Top Bottom