GIUSEPPE
JF-Expert Member
- Dec 31, 2011
- 5,239
- 6,196
Nahayo majengo ya GTEA wanataka wafanyie nini?Kwani kuna ubaya? Au kipelekwe ata Dodoma sioni tatizo.
Nahayo majengo ya GTEA wanataka wafanyie nini?Kwani kuna ubaya? Au kipelekwe ata Dodoma sioni tatizo.
Tatizo ni location, arusha is not healthy.. Ingekuwa chato mda huu kiwanda kishaanza uzalishaji
[HASHTAG]#Ngoshakwanza[/HASHTAG]
Na ni lazima kijengwe CHATO