ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 43,109
- 49,811
Uwekezaji wa kigeni yaani FDI Huwa na faida Kwa Nchi inayopokea na hasara Kwa Nchi wanakotoka hasa hapa Tanzania ambapo Matajiri ni ngumu sana kuvuna pesa huko Nje na kuzileta Nchini Kwa sababu siasa zetu haziaminiki.
Inanisikitisha sana kuona Tanzania inapambana kuacha Kuagiza mafuta ya kula Nje ya Nchi ambapo Kwa mwaka tunatumia takribani Bilioni 400(uhakika wa soko) kuingiza mafuta ya kula.Matajiri ambao wangepiga jeki Kwa kuanzisha viwanda na kusaidia wakulima Wetu wanakimbia na kwenda Nchi za jirani kuwatengenezea fursa.Inasikitisha sana.
Kuna haja ya Serikali kujitathmini Kwa sera zake na siasa zetu kama zinatabirika vinginevyo watu watachuma mtaji Tzn na kwenda Kupeleka Ajira Nchi jirani huku Tanznaia ikiachwa na shida zake.
Na uhakika ukimuuliza Mzee Barkharessa atakwambia ukiritimba na sera za siasa na Utawala ambazo hazitaniriki ndio chanzo Cha kukimbia Tanzania.
Rostam aliwahi sema kwamba hata kukiwa na kesi ,Watawala wanampigia hakimu simu na anaamua Serikali inavyotaka.Hasara yake ndio hii.
My Take
Nimesikitika sana Kwa hili.
=====
Bakhresa Group has invested $100 million (Sh255 billion) to establish a vegetable oil refinery factory in Malawi’s commercial city of Blantyre that is set to employ over 500 people.
The soybean oil refinery plant, which is 70% complete, is an addition to other business interests already established by the Tanzanian conglomerate in Malawi, which includes the popular Azam wheat flour, Azam pay services, and the production of Azam washing soap, which is among the most popular products in Malawi.
The Bakhresa Group is Tanzania’s largest family-owned business, owning 30 subsidiaries and factories in nine African countries, such as Kenya, Uganda, Rwanda, Burundi, Zambia, Mozambique, Malawi, South Africa, and Tanzania, where the group’s headquarters are located.
Chanzo: The Citizen
Inanisikitisha sana kuona Tanzania inapambana kuacha Kuagiza mafuta ya kula Nje ya Nchi ambapo Kwa mwaka tunatumia takribani Bilioni 400(uhakika wa soko) kuingiza mafuta ya kula.Matajiri ambao wangepiga jeki Kwa kuanzisha viwanda na kusaidia wakulima Wetu wanakimbia na kwenda Nchi za jirani kuwatengenezea fursa.Inasikitisha sana.
Kuna haja ya Serikali kujitathmini Kwa sera zake na siasa zetu kama zinatabirika vinginevyo watu watachuma mtaji Tzn na kwenda Kupeleka Ajira Nchi jirani huku Tanznaia ikiachwa na shida zake.
Na uhakika ukimuuliza Mzee Barkharessa atakwambia ukiritimba na sera za siasa na Utawala ambazo hazitaniriki ndio chanzo Cha kukimbia Tanzania.
Rostam aliwahi sema kwamba hata kukiwa na kesi ,Watawala wanampigia hakimu simu na anaamua Serikali inavyotaka.Hasara yake ndio hii.
My Take
Nimesikitika sana Kwa hili.
=====
Bakhresa Group has invested $100 million (Sh255 billion) to establish a vegetable oil refinery factory in Malawi’s commercial city of Blantyre that is set to employ over 500 people.
The soybean oil refinery plant, which is 70% complete, is an addition to other business interests already established by the Tanzanian conglomerate in Malawi, which includes the popular Azam wheat flour, Azam pay services, and the production of Azam washing soap, which is among the most popular products in Malawi.
The Bakhresa Group is Tanzania’s largest family-owned business, owning 30 subsidiaries and factories in nine African countries, such as Kenya, Uganda, Rwanda, Burundi, Zambia, Mozambique, Malawi, South Africa, and Tanzania, where the group’s headquarters are located.
Chanzo: The Citizen