Choosen85
JF-Expert Member
- Jun 22, 2022
- 563
- 1,364
Ndo makamba amekutuma huku jf na hiyo kampun yenu ya ktapeli. Wakuu mspoteze muda hiyo gas ya buku huwez hata kuivisha ubwabwa nawajua sn hawa. Kumbe mna ubia na makamba na mnataka kupumbaza watz kwmb ni mradi wa serikali ili mpate tender we makamba we makamba wewe ccm ccm ccm nimewaita mara 3 maji tu na madawati zaid ya miaka 60 mmeshndwa sembuse gas. Foolish kbs.