Jidu La Mabambasi
JF-Expert Member
- Oct 20, 2014
- 15,336
- 24,232
Hii sasa ni hatari kwa mustakabali wa amani nchini.
Inavyoonekana kuna kikundi cha Maaskofu ambao wameamua kuleta ufarakano ndani ya Kanisa la Kiinjili la Kilutheri, Tanzania-KKKT.
Hili kundi yumo Askofu Bagonza wa Karagwe
Askofu Mwaipopo wa Jimbo La Ziwa Tanganyika, Sumbawanga
Na sasa amengia hilo kundi Askofu aliyetimuliwa Dr Mwaikali aliyekuwa Konde
Askofu mstaafu Isaya Mengele wa Kusini Njombe
Serikali ikilifumbia macho suala hili yatatokea yale ya KKKT Meru na Jimbo la Kaskazini miaka ya 90, ambapo watu waliuwawa.
Kuna Maaskofu wamelifanya Kanisa, hasa Dayosisi kuwa mali zao na familia zao, na kuteteana hata kama maovu ya dhahiri yanaonekana.
Serikali isiogope kutumia maguvu yake pale inapoonekana kuwa hali ya amani inataka kutoweka
Mbona kwa vyama vya siasa serikali inachukua hatua haraka?
Inavyoonekana kuna kikundi cha Maaskofu ambao wameamua kuleta ufarakano ndani ya Kanisa la Kiinjili la Kilutheri, Tanzania-KKKT.
Hili kundi yumo Askofu Bagonza wa Karagwe
Askofu Mwaipopo wa Jimbo La Ziwa Tanganyika, Sumbawanga
Na sasa amengia hilo kundi Askofu aliyetimuliwa Dr Mwaikali aliyekuwa Konde
Askofu mstaafu Isaya Mengele wa Kusini Njombe
Serikali ikilifumbia macho suala hili yatatokea yale ya KKKT Meru na Jimbo la Kaskazini miaka ya 90, ambapo watu waliuwawa.
Kuna Maaskofu wamelifanya Kanisa, hasa Dayosisi kuwa mali zao na familia zao, na kuteteana hata kama maovu ya dhahiri yanaonekana.
Serikali isiogope kutumia maguvu yake pale inapoonekana kuwa hali ya amani inataka kutoweka
Mbona kwa vyama vya siasa serikali inachukua hatua haraka?