Pac the Don
JF-Expert Member
- Feb 17, 2021
- 6,177
- 7,699
Hili ndilo la msingi ingawa ni gumu kwa wahusika!!Imetosha, Muafaka chanya upatikane.
Tuzingatie kwenye hili hakuna mshindi, Ila mshindi awe ni taifa. Kuzozana kwetu kuwe kwaajili ya maslahi ya Nchi.
Muungwana akivuliwa nguo huchutama. Kurekebisha ulipokosea sio kujiabisha Bali ni uungwana. Na uungwana ni vitendo.