Baraza la maaskofu catolic Tanzania limemetoa taarifa kuwa serikali imekuwa ikiwakumbatia watu wanaokashifu dini za wanzao!
Akitoa taarifa ya baraza la maaskofu Tanzania jana Raisi wa baraza hilo Thadeus Ruwaichi alisema serikali imeshindwa kuwachukulua hatua watu waliochoma makanisa huko zanzibar.
Alisema toka 2010 mpaka sasa makanisa 25 yamechomwa zanzibar na hakuna mtu yoyote anayechukuliwa hatua!.
Akitoa taarifa ya baraza la maaskofu Tanzania jana Raisi wa baraza hilo Thadeus Ruwaichi alisema serikali imeshindwa kuwachukulua hatua watu waliochoma makanisa huko zanzibar.
Alisema toka 2010 mpaka sasa makanisa 25 yamechomwa zanzibar na hakuna mtu yoyote anayechukuliwa hatua!.