Synthesizer
JF-Expert Member
- Feb 15, 2010
- 11,143
- 18,774
Kulinda raia na mali zao ni daraka la serikali, hivyo basi ikiwa serikali imeshindwa kuwadhibiti Waislamu wanaofanya fujo na kuchoma mali za watu na makanisa, serikali inapaswa kutoa fidia kwa mali zilizoharibiwa. Hii ni haki ambayo waathirika wa ufujaji huu wa sheria wa Waislamu wanapaswa hata kulifikisha hili suala mahakamani.