Trueman m
JF-Expert Member
- Nov 26, 2014
- 241
- 243
Nafikiri kwa sasa kuna umuhimu wa kigezo cha elimu kuzingatiwa wakati wa kupata wabunge, hawa wa darasa la nne na saba waishie 2025, sisemi wenye elimu kwa binge hili tunaona tija yao,hapana, angalau wanaweza fanya mambo wanayojua athari zake kwa kuchambua na kutafuta sehemu tofauti tofauti. Wabunge wenyekusaidiwa na uwezo wao wa kupanua midomo nafikiri tuondokane nao.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app