Kutokana na miradi ya ujenzi ya barabara na madaraja kuwa na viwango vya chini sana vya ubora, Serikali ielekeze jicho kali Wizara ya Ujenzi, TANROAD na TARURA.
Miradi hiyo inajengwa chini ya viwango kutokana na wale walioaminiwa na serikali (wakaguzi wa miradi hiyo) kula njama kwa kupewa rushwa na wakandarasi wakati wa ukaguzi.
Hii imepelekea wahusika waliaminiwa na serikali kushindana kwa ukwasi wanaopata kwa njia ya rushwa.
Barabara na madaraja zinazojengwa hazidumu au hata kuonyesha ubovu kabla mradi haujaishi kukabidhiwa. Serikali iwafuatilie wahusika wapokea rushwa na wanapobainika waondolewe kazini kabisa na si kuhamishwa.
Nawasilisha.
Miradi hiyo inajengwa chini ya viwango kutokana na wale walioaminiwa na serikali (wakaguzi wa miradi hiyo) kula njama kwa kupewa rushwa na wakandarasi wakati wa ukaguzi.
Hii imepelekea wahusika waliaminiwa na serikali kushindana kwa ukwasi wanaopata kwa njia ya rushwa.
Barabara na madaraja zinazojengwa hazidumu au hata kuonyesha ubovu kabla mradi haujaishi kukabidhiwa. Serikali iwafuatilie wahusika wapokea rushwa na wanapobainika waondolewe kazini kabisa na si kuhamishwa.
Nawasilisha.