Precise Pangolin
JF-Expert Member
- Jan 4, 2012
- 12,998
- 6,659
Hiyo ni hatari sana watauwana ili warithiNakubaliana na hoja kwamba serikali inaingia gharama kubwa kushughurikia chaguzi ndogo, wazo langu ni achukuliwe aliyekuwa mshindi wa pili bila kujali chama alichotoka maana anakuwa alipigiwa kura na wananchi wote. Kumchukuwa mtu kutoka chamani mmmh!?