popiexo
JF-Expert Member
- Oct 26, 2010
- 742
- 182
Tutapataje raisi wa sita kabla ya kumpata wa tano, Maralia suguKumbe utabili wa mwandishi ulikuwa kweli our president is Dr Jakaya Mrisho Kikwete, na mimi leo natabili na kusema Dr SLAA WILL NEVER BE SIXTH PRESIDENT. Taifa hili bado halijamkubali Dr Slaa kuwa Rais. Mimi nashauri asubiri kwanza akomaze chama mwaka 2025 ndo ajiandae kushika nchi.
Mungu ibariki Africa
Mungu ibariki Tanzania
Mungu Mmbariki JK