Ben Saanane
JF-Expert Member
- Jan 18, 2007
- 14,581
- 18,124
Stephen Kebwe,mbunge wa jimbo la Serengeti anaonyesha kabisa kwamba suala la elimu ya uraia kwake ni tatizo.
Anajenga hoja kwamba kuna wanasiasa wanaotaka kujifunza siasa kupitia uhamasishaji wa migomo vyuo vikuu,analaumu na kulaani wanafunzi kufanya maandamano at the same time anakiri kwamba matatizo ya wanafunzi yaliyoko vyuoni ni kwa sababu wanakosa haki yao kwa hiyo inakuwa rahisi kuwa triggered kufanya maandamano na migomo kwa kuwa wanaahidiwa kwamba watasaidiwa!
Anashindwa kuelewa kwamba Maandamano ni njia mojawapo ya kudai haki.Maandamano ni njia ya kuhamasisha jambo muhimu na lenye manufaa.Mwalimu Nyerere alifanya na kuhamasisha maandamano ya kuunga mkono azimio la arusha kutoka Musoma,Seti Benjamaini mojawapo wa mashujaa wa Azimio la arusha na Taifa kwa ujumla alifariki akiwa njiani kwa kutembea umbali mrefu katika jitihada za kuunga mkono azimio la Arusha.
Anaongelea hoja ya Upinzani kupunguza posho za Semina ya ukimwi na Malaria,anapinga kwa kupotosha kwamba upinzani unataka vijana wetu wafe.Sijui kama amefanya tafiti na kujua kiasi halisi kinachotumika vs Kiasi kinachoombwa na sijui kama amefanya Evaluation na Research katika hilo
Kwa hoja zake hizi anajipa Moyo na kuwahimiza watu wa serengeti wawe na msimamo na kukataa hoja za upinzani.Tafadhali wana wanaserengeti mlioko humu jiandaeni kwa kutoa Elimu ya Uraia jimboni mwenu,hili jimbo ni kama halina mbunge kabisa.Wanaserengeti ni miongoni mwa majimbo yasiyo na uwakilishi unaostahili
List ya majimbo yatima inaendelea.............hili Bunge la bajeti litatoa Reflection ya the wrong and the right choice of People!
Anajenga hoja kwamba kuna wanasiasa wanaotaka kujifunza siasa kupitia uhamasishaji wa migomo vyuo vikuu,analaumu na kulaani wanafunzi kufanya maandamano at the same time anakiri kwamba matatizo ya wanafunzi yaliyoko vyuoni ni kwa sababu wanakosa haki yao kwa hiyo inakuwa rahisi kuwa triggered kufanya maandamano na migomo kwa kuwa wanaahidiwa kwamba watasaidiwa!
Anashindwa kuelewa kwamba Maandamano ni njia mojawapo ya kudai haki.Maandamano ni njia ya kuhamasisha jambo muhimu na lenye manufaa.Mwalimu Nyerere alifanya na kuhamasisha maandamano ya kuunga mkono azimio la arusha kutoka Musoma,Seti Benjamaini mojawapo wa mashujaa wa Azimio la arusha na Taifa kwa ujumla alifariki akiwa njiani kwa kutembea umbali mrefu katika jitihada za kuunga mkono azimio la Arusha.
Anaongelea hoja ya Upinzani kupunguza posho za Semina ya ukimwi na Malaria,anapinga kwa kupotosha kwamba upinzani unataka vijana wetu wafe.Sijui kama amefanya tafiti na kujua kiasi halisi kinachotumika vs Kiasi kinachoombwa na sijui kama amefanya Evaluation na Research katika hilo
Kwa hoja zake hizi anajipa Moyo na kuwahimiza watu wa serengeti wawe na msimamo na kukataa hoja za upinzani.Tafadhali wana wanaserengeti mlioko humu jiandaeni kwa kutoa Elimu ya Uraia jimboni mwenu,hili jimbo ni kama halina mbunge kabisa.Wanaserengeti ni miongoni mwa majimbo yasiyo na uwakilishi unaostahili
List ya majimbo yatima inaendelea.............hili Bunge la bajeti litatoa Reflection ya the wrong and the right choice of People!