Heaven on Earth
JF-Expert Member
- Mar 21, 2013
- 37,226
- 26,645
Wala miguu na utumbo wa kuku wa Dar hawamkubali Diamond kwa sababu kawazidi kipata.. Sisi mabilionea wa Arusha tunamkubali sana Diamond
Kumbe na wewe ni bilionea??????
Wala miguu na utumbo wa kuku wa Dar hawamkubali Diamond kwa sababu kawazidi kipata.. Sisi mabilionea wa Arusha tunamkubali sana Diamond
Kwenye list ya mabilionea wa Arusha upo nafasi ya ngapi mkuu?
Kumbe na wewe ni bilionea??????
Wewe na mafukara wenzako wa manzese acheni wivu.. Mkikusanywa wote hamuwezi.kufikia hata robo ya mafanikio ya Diamond
mi ni bilionea toka kitambo sana
Ali kiba ndio mdudu gani?
.Acha kashifa mkuu.Unatuchukuliaje watu wa manzese?una mahaba mazito na diamond mpaka unatu disi.tuna wasi wasi na wewe.sio chakula ya domo kwelii?Wewe na mafukara wenzako wa manzese acheni wivu.. Mkikusanywa wote hamuwezi.kufikia hata robo ya mafanikio ya Diamond
Haaaaa....., wacha kupiga kelele acha watu waone wenyewe weee.... (just singing)
.Acha kashifa mkuu.Unatuchukuliaje watu wa manzese?una mahaba mazito na diamond mpaka unatu disi.tuna wasi wasi na wewe.sio chakula ya domo kwelii?
dogo umekula kweli au una nauli ya kurud moro kabla hatujaendelea
Wala miguu na utumbo wa kuku wa Dar hawamkubali Diamond kwa sababu kawazidi kipata.. Sisi mabilionea wa Arusha tunamkubali sana Diamond
Niko Airport hapa nachukua Fastjet ya Mwanza niwahi birthday ya mpwa wangu leo mchana
Naongoza mkuu
.Acha kashifa mkuu.Unatuchukuliaje watu wa manzese?una mahaba mazito na diamond mpaka unatu disi.tuna wasi wasi na wewe.sio chakula ya domo kwelii?
Badilisha basi hiyo ID mkuu, wewe ni bilionea mkubwa sana Arusha na Tanzania ukijiita laki si pesa unajiangusha bora ujiite Trilioni si pesa.
Pasipo na shaka leo ni siku yako ya mwezi mchanga.
Kwahiyo Diamond kawazidi kipato kina Bakhressa, Mo dewji, Rostam, Mufuruki, Mzee Machache baba wawili na Karamagi?
Badilisha basi hiyo ID mkuu, wewe ni bilionea mkubwa sana Arusha na Tanzania ukijiita laki si pesa unajiangusha bora ujiite Trilioni si pesa.
Niko Airport hapa nachukua Fastjet ya Mwanza niwahi birthday ya mpwa wangu leo mchana