ROBERT MICHAEL
JF-Expert Member
- Oct 23, 2012
- 5,056
- 2,851
Anakukumbuka wewe el nino mleta mafuriko.
Leo kabadilika kawa mvua za vuli.
Anakukumbuka wewe el nino mleta mafuriko.
humjui kiba vizuri jinsi alivyokaa kiswahili kimavazi hata roho yake ipo hivyo hivyo,tulipwa tukapige boooooo pale maisha hayo ya kushindiliwa yamekujaje
umesahau sifuri moja ni milioni 900 lol
Ali kiba ndio mdudu gani?
Mafukara wa Dar hawampendi Diamond kwa sababu ana.pesa
Mafukara wa Dar hawampendi Diamond kwa sababu ana.pesa
embu futa kauli we demu
Kushindiliwa kuna kuja tokana upo cheap....unanunulika hata kwa elfu 30 sawa na chupa 6 za beer sasa kuna nini tena???
Nchi hii kupiga hatua itakuwa ndoto....
Huna hata hadhi ya kuwa JF, akitokea wa kukupa million si utampanulia kabisa akushindilie?
Hivi mtihani wenu wa form four mnaanza na somo gani vile?Yaani kiba amsaidie Dimond hahah....wakati hata hili shangwe analolipata ni kwaajili ana bifu na Diamond huyo alikiba wenu angekuwa na Bifu na Barnaba au Bob juniour angesahau hata kupata shoo
Wala miguu na utumbo wa kuku wa Dar hawamkubali Diamond kwa sababu kawazidi kipata.. Sisi mabilionea wa Arusha tunamkubali sana Diamond
Ali kiba ndio mdudu gani?
Wala miguu na utumbo wa kuku wa Dar hawamkubali Diamond kwa sababu kawazidi kipata.. Sisi mabilionea wa Arusha tunamkubali sana Diamond
Tajiri uwe wewe?Mara upo songea mara arusha hata haujielewi ila najua hiyo yote bado unawaza ulivyozomewa jana
humjui kiba vizuri jinsi alivyokaa kiswahili kimavazi hata roho yake ipo hivyo hivyo,tulipwa tukapige boooooo pale maisha hayo ya kushindiliwa yamekujaje