Serious? Kweli jf imevamiwa na under 18who is senzo?is it a new political party?
Serious? Kweli jf imevamiwa na under 18
Sawa kabisaaaa.... Bangi ilimkolea na alikuwa Hali akapata matatizo ya akili.senzo Yuko hai. mwenyewe alijitokeza mwaka Jana na kukanusha uvumi kuwa amekufa
We ni kiazi endelea kufatilia miziki Ya kina dimposwho is senzo?is it a new political party?
Nataka ushahidi kama Lucky dube alihusika,kwanza habari za kifo cha Senzo ni utata,habari za kwenye kahawa hatuzihitaji,kama huna ushahidi ni bora kuwa kimya!
hawa madogo wa yamoto band na kina shilole wana zingua sana mkuu!!We ni kiazi endelea kufatilia miziki Ya kina dimpos
Mkuu ndiyo maana nilisema habari za kifo cha huyu mwanamuziki ni utata,hapo juu kuna makala [documentary] inaonesha yupo hai....Mkuu kwa mwendo huu wanaojua hawatakwambia kamwe!
Yupo wapi kwa sasaSenzo is allive
Kuna mtu anaweza kuniambia siku Senzo alipigwa risasi na kufariki? Maana nasikia watu wanadai kuwa alipigwa risasi na kufariki, sijasikia hata ilikuwa mwaka gani?
Wengine wanasema alilogwa na Lacky Dube. Nahitaji video zake mkuu.
hii ya kulogwa sasa kali, hata mimi nilisikia alipigwa risasi na watu waliotumwa na lucky dube, na ndio maana dube nae alipigwa risasi in revenge. Ila sijawahi kuona picha yoyote .
Senzo alikuwa mpiga drums wa luck dube,ukiangalia video nyingi za luck utamwona jamaa akigonga drums vilivyo,ila alifanyiwa njama na dube mpaka kauawa baada ya senzo kuibuka na album zake kadhaa km vile rasta stand up,kikolele na nyinginezo
anaeuwa kwa risasi nayeye risasi hiyo hiyo itamwondoa
Sure ya kulogwa,sidhani....ila ya kupigwa risasi na kundi la L/dube,ndo inavyosemekana.
senzo alikufa kifo cha kawaida.
Nilikuwa sijui kama jamaa nae alifariki...nilikuwa na album yake ilikuwa poa sana, too bad!
Kweli kifo chake ni cha utata yan pamoja na watu kujibizana hapa lakini sijaona picha hata moja.
Hahahahahhahaha
Kweli kifo chake ni cha utata yan pamoja na watu kujibizana hapa lakini sijaona picha hata moja.
Hahahahahhahaha
Utakuwa mcheza show za singeliwho is senzo?is it a new political party?
Senzo alikuwa mpiga drums wa luck dube,ukiangalia video nyingi za luck utamwona jamaa akigonga drums vilivyo,ila alifanyiwa njama na dube mpaka kauawa baada ya senzo kuibuka na album zake kadhaa km vile rasta stand up,kikolele na nyinginezo
Kuna Senzo wawili. Mmoja ni Senzo Robert Meyiwa. Huyu alikuwa mcheza mpira na goalkeeper was Orlando Pirates ya Afrika Kusini. Alikuwa pia kipa na kapteni wa timu ya Bafana Bafana. Senzo Meyiwa Aliuawa kwa kupigwa risasi na wezi Oktoba 26, 2014. Alifanyiwa mazishi ya kitaifa.
Mwingine ni Senzo Mthethwa. Huyu ni mwanamuziki wa gospel reggae. Kuna mkanganyiko kama yupo hai au alishafariki. Hata hivyo, nadhani mkanganyiko huu unatokana na kifo cha mchezaji mpira Senzo Robert Meyiwa.
Oktoba mwaka jana Senzo Mthethwa alitarajiwa ku-perform kwenye Sand Music Festival huko Malawi. Ila hasikiki sana na sidhani kama bado anatoa nyimbo mpya kutokana na kupoteza sauti yake baada ya kupata cerebral ya malaria. Labda ndio maana hasikiki. Ila mke wake alishafariki.