Eiyer
JF-Expert Member
- Apr 17, 2011
- 28,258
- 20,708
Kuna mtu anaweza kuniambia siku Senzo alipigwa risasi na kufariki? Maana nasikia watu wanadai kuwa alipigwa risasi na kufariki, sijasikia hata ilikuwa mwaka gani!
=========
=========
Angalia hii video ikubadilishe mawazo yako mleta mada. Huyu mtu yupo hai, hakufa na hakuna kaburi lake wala mazishi yake. Bangi ilimzidia akapata celebral malaria..
ENDELEA.