Bornvilla
JF-Expert Member
- Feb 17, 2011
- 924
- 271
Kuendelea kwa serikali ya CCM kuwatisha waislam kuwa watachukuliwa hatua kali endapo hawatashiriki sensa,rejea kauli ya mwanasheria wa sensa na JK.
Pia kwa tabia wanayoionesha kutokuwaheshimu mashekhe na misikiti! Muda sio mrefu itawa cost. Kwa dhana yao ya kuitumia BAKWATA kuendesha mauozo yao basi waislam sasa wanajua na hawakotayari kutumika.Na kwakuwa CCM na serikali yake imeendeleza dhulma mbalimbali dhidi ya waislam na sasa sehemu kubwa ya waislam wanajitambua!
Hivyo ccm 2015 iandae tu makoleo ya kutupia udongo kwenye kaburi lake.Tunangoja Agost wakati wa sensa kitakachotokea na hapo ndio mwanzo na mwisho wa ccm,kwani kwasasa waislam hawatazami sensa bali 2015.Waislam wa mwaka 1982 si hawa wa 2012, kwani hawa wanajua walikotoka na wanajua wanakokwenda.
CCM endeleeni kuitumia BAKWATA kwa kuwamwagia mipesa kwasababu mnajua wananjaa lakini mjue waislam wanajua A-Z hivyo lolote la BAKWATA ni la BAKWATA na sio la waislam. Waislam wanaivizia CCM yenu kwenye kona ili ibandikwe kande la pua. Konde hilo la pua bila shaka liCCM litaanguka chali.
Pia kwa tabia wanayoionesha kutokuwaheshimu mashekhe na misikiti! Muda sio mrefu itawa cost. Kwa dhana yao ya kuitumia BAKWATA kuendesha mauozo yao basi waislam sasa wanajua na hawakotayari kutumika.Na kwakuwa CCM na serikali yake imeendeleza dhulma mbalimbali dhidi ya waislam na sasa sehemu kubwa ya waislam wanajitambua!
Hivyo ccm 2015 iandae tu makoleo ya kutupia udongo kwenye kaburi lake.Tunangoja Agost wakati wa sensa kitakachotokea na hapo ndio mwanzo na mwisho wa ccm,kwani kwasasa waislam hawatazami sensa bali 2015.Waislam wa mwaka 1982 si hawa wa 2012, kwani hawa wanajua walikotoka na wanajua wanakokwenda.
CCM endeleeni kuitumia BAKWATA kwa kuwamwagia mipesa kwasababu mnajua wananjaa lakini mjue waislam wanajua A-Z hivyo lolote la BAKWATA ni la BAKWATA na sio la waislam. Waislam wanaivizia CCM yenu kwenye kona ili ibandikwe kande la pua. Konde hilo la pua bila shaka liCCM litaanguka chali.