Sensa ni kaburi la kuizika CCM.

...

CCM endeleeni kuitumia BAKWATA kwa kuwamwagia mipesa kwasababu mnajua wananjaa lakini mjue waislam wanajua A-Z hivyo lolote la BAKWATA ni la BAKWATA na sio la waislam. Waislam wanaivizia CCM yenu kwenye kona ili ibandikwe kande la pua. Konde hilo la pua bila shaka liCCM litaanguka chali.

Badala ya konde la pua, kwa nini msiivalie mabomu ya kujitolea mhanga mkaimaliza kabisa?
 
Ushauri tu.
Kwasababu ni muhimu sana kwa waislamu kujua idadi ya wale ambao sio waislam(maana kama ni wao kujua idadi yao nadhani hawahitaji sensa) basi wasubiri sensa iishe(na wahesabiwe), Halafu wajihesabu wao.

Then kupata juma ya wasio waislam itakuwa rahisi. Unachukua jumla kuu (ya sensa) una toa idadi ya waislam unapata idadi ya wasio waislam.

Simple mathematics!!!

Si sahihi, na hawatapata wanachokitaka!
Kuna dini kama WAHINDU, Atheists, Buddha etc, hawa watawapataje?

Mkuu ukiangalia hiyo hesabu vizuri iko sawa kwa maana ya kupata wasio waislam. Labda kama una maana shida yao ni kupata idadi ya wakristu. In that case hesabu hii haitakupa jibu. By the way nilifikiri shida yao ni kujua wasio waislamu
na si kujua idadi ya wakristu!!!!!
 
Selikari isipokuwa makini zoezi la sensa haliwezi kukamilika na cjui nani atalaumiwa,naishauri serikali ifike muafaka na waislam ndipo zoezi la sensa liendelee,ila wakiendelea na huu msimamo hawawezi kupata idadi sahihi na hivyo itakuwa hasara kwa taifa lote kwani ni kodi za watz ndizo zitakazotumika ktk zoezi hili.
 
hawa watu hawana hoja ya msingi mbona rahisi sana kujua si waangalie sehemu ambapo magamba ilishinda kura nyingi ndo huko waliko wengi ni hesabu rahisi tu
 
Labda niwape kisa hiki cha kweli, kitawasaidia ndugu zangu Waislamu.

Juzi Kanisa katoliki Jimbo la Arusha lilipata dili ya kununua Shule ya Arusha Modern(Ni shule kubwa ya kuanzia Primary hadi A-Level inayokwenda kwa mfumo wa ENGLISH medium) kutoka kwa mmiliki ambaye ni Mwislamu (Wakatoliki wa Arusha wote mnalijua jambo hili kwa usahihi)!

Jamaa akawa anataka Bilioni 4 kama bei, ambapo ni majengo yaliyoko katika space ya eka 9, na eneo la eka 15 open space ambayo haijajengwa, jumla ya eneo ni eka 25.

Walichofanya Mapadre na Askofu Lebulu ni kuitisha sensa ya Wakatoliki wa jimbo la Arusha. Taarifa zikashuka hadi kwenye Jumuia ndogondogo ambapo ndiko ilikoanzia sensa.

Kila paroko akapata idadi ya watu walio katika Parokia yake kutokea kwenye jumuia, na parokia zikawasilisha kwa Askofu, akajumlisha na kujua kwa usahihi kabisa Idadi ya Wakatoliki Jimboni, zoezi lililochukua siku 3 tu.

Baada ya hapo wakagawa hiyo 4bn kwa idadi ya wakatoliki. na kutuletea hesabu kuwa kila mtu achange kiasi gani...kimsingi kila mtu mzima mkatoliki wa Arusha aanachanga elfu 10 kwa mwaka, na mtoto anachanga elfu 5 tu, na ndani ya miaka 2 tutakuwa tumemeliza deni tayari!....ha ha haaa, rahisi mno!

Waislamu mnataka nini zaidi kama si kusababisha machafuko na kuipima nguvu serikali?
OK, Mnataka kujuaidadi yenu, KUNA JAMBO LA MAENDELEO MNATAKA KUFANYA, kama mfano wa hapo juu niliowaletea?

Tatizo ni kwamba hawataamini ukweli huo. Watang'ang'ania kuwa ni pesa MOU wala si sadaka ya waumini.
 
MNAANGAIKA WEE! katika SENSA hakuna Kipengele cha DINI.....Madodoso ya Sensa Tumeshayaona
 

Similar Discussions

0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom