KakaKiiza
JF-Expert Member
- Feb 16, 2010
- 11,578
- 8,600
Tujikumbushe 2005, Je wananchi ungewaambia Kikwete asipewe surport Wananchi wangekuelewa??
Wasingekuelewa, kwani walikuwa na imani naye vivyohivyo kwa Lowassa watu wanaimani naye.Mimi niwambie Jeshi la Polisi wawe makini kwani kufanya maagizo ya CCM nikutaka kuvunja amani,Na zaidi nikupandikiza chuki katika wananchi na mwisho wake, ni kuichimbia Kaburi CCM!
CCM watafunte mbinu nyingine ila kwa hili la kutumia vyombo vya dola mnaelekea kupata anguko la aibu!
Mwisho usine wenzetu afrika ya kati wanakimbia kimbia ukadhani wao walizaliwa na vita!Mambo ya lianza hivi!
Wasingekuelewa, kwani walikuwa na imani naye vivyohivyo kwa Lowassa watu wanaimani naye.Mimi niwambie Jeshi la Polisi wawe makini kwani kufanya maagizo ya CCM nikutaka kuvunja amani,Na zaidi nikupandikiza chuki katika wananchi na mwisho wake, ni kuichimbia Kaburi CCM!
CCM watafunte mbinu nyingine ila kwa hili la kutumia vyombo vya dola mnaelekea kupata anguko la aibu!
Mwisho usine wenzetu afrika ya kati wanakimbia kimbia ukadhani wao walizaliwa na vita!Mambo ya lianza hivi!