Governor of Bettors-GB
JF-Expert Member
- Jul 14, 2013
- 9,879
- 8,899
Aisee kumbe na TAKUKURU nao wanaihati KATIKIKIRI iwachunguze.
Sasa si angetumia Lugha nzuri tu kumuambia,maana kama ni kusimama inawezekana lengo ilikuwa ni kumfahamisha pale kwenye utata.
Halafu sijui kwanini TAKUKURU mpaka issue itoke kwenye vyombo vya habari ndio wao waende wakachunguze,yaani haiwezekani wao wenyewe kuhisi sehem kuna kitu wafuatilie mpaka issue ikitolewa na wanahabari basi na wao mbioo.
Halafu Number yao waliotuma kwenye sim ya 113 kama sikosei naona majanga tu,yenyewe inatakiwa ichunguzwe
Sasa si angetumia Lugha nzuri tu kumuambia,maana kama ni kusimama inawezekana lengo ilikuwa ni kumfahamisha pale kwenye utata.
Halafu sijui kwanini TAKUKURU mpaka issue itoke kwenye vyombo vya habari ndio wao waende wakachunguze,yaani haiwezekani wao wenyewe kuhisi sehem kuna kitu wafuatilie mpaka issue ikitolewa na wanahabari basi na wao mbioo.
Halafu Number yao waliotuma kwenye sim ya 113 kama sikosei naona majanga tu,yenyewe inatakiwa ichunguzwe