SENGEREMA: Afisa TAKUKURU amlamba mwalimu makofi

Hivi nikuulize kitu limitation ya defense ya provocation inakua applied katika masuala yapi?
Sizungumzii provocation unayoifahamu wewe , ya ma heat of passion na ma objective test. Nazungumzia provocation ambayo kiukweli ipo na sheria imeshindwa kuitafsiri na ambayo haitumii kipimo hicho cha kienyeji na kilichopitwa na wakati kiitwacho " OBJECTIVE TEST" utajua vizuri baada ya mimi na wanasayansi wenzangu kukamilisha kutengeneza kipimo kipya kiitwacho " MIND METRE" hiki kitapima kwa usahihi kabisa na kutoa viwango vya provocation kwa kila kitendo na tutaweka kiwango cha kawaida cha mtu na kinapozidi hapo ndio tutagundua kuwa "POWER OF SELF CONTROL" ilipotea kutokana na kiwango cha provocation alichokuwa nacho mtu ambacho kinatofautiana kutokana na mtu na mtu na si rahisi eti mtu mwingine akielezee " OBJECTIVE TEST"
 
Sizungumzii provocation unayoifahamu wewe , ya ma heat of passion na ma objective test. Nazungumzia provocation ambayo kiukweli ipo na sheria imeshindwa kuitafsiri na ambayo haitumii kipimo hicho cha kienyeji na kilichopitwa na wakati kiitwacho " OBJECTIVE TEST" utajua vizuri baada ya mimi na wanasayansi wenzangu kukamilisha kutengeneza kipimo kipya kiitwacho " MIND METRE" hiki kitapima kwa usahihi kabisa na kutoa viwango vya provocation kwa kila kitendo na tutaweka kiwango cha kawaida cha mtu na kinapozidi hapo ndio tutagundua kuwa "POWER OF SELF CONTROL" ilipotea kutokana na kiwango cha provocation alichokuwa nacho mtu ambacho kinatofautiana kutokana na mtu na mtu na si rahisi eti mtu mwingine akielezee " OBJECTIVE TEST"
Mmfefikia hatua gani, katika kutengeneza kifaa hicho labda nami nichangie mawazo?
Na kinatwngenezewa nchi gani?
 
Taarifa zilizonifikia ni kwamba;

Kama kichwa kinavyo jieleza tukio limetokea leo Halmashauri ya Wilaya ya BUCHOSA wilaya ya SENGEREMA MKOA WA MWANZA ambapo Afisa mmoja wa TAKUKURU amemlamba makofi mwalimu wa kike (jina linaifadhiwa) wa shule ya msingi (jina linahifadhiwa) wakati wa uhakiki wa vyeti kwa watumishi wote wa umma wa Halmashauri hiyo kwa kosa la kusimama nyuma yake wakati zoezi likiendelea.

Afisa huyo anashikiliwa na polisi mpaka sasa, kwenye kituo cha polisi cha KATA YA NYEHUNGE ambapo zoezi hilo linafanyika, wakati mwalimu akiwa hospitali kwa matibabu ya michubuko aliyoyapata.

Hii ni mwendelezo wa vichapo na udhalilishaji kwa waalimu ambao wanaonekana kutokuwa nathamani mbele ya kada zingine za kiutumishi.

Mpaka sasa suala hilo lipo mikononi mwa polisi, wizara usika na vyombo vyenye dhamana mtende haki kulinda heshma ya mwalimu.
Naomba kujuzwa huyo afisa wa takukuru ni me au ke!!!
 
Masikini walimu mweeee,kamshahara kadogo,madai hawalipwi,kazi ngumu na wanafunzi wengi darasa halipumui.Daa
 
Msilikuzeee sana hiyo ni involuntary act inaweza kukutokea, iliwahi kukutokea na baada ya kitendo unajilaumu mwenyewe kwa kile ulichokitenda. Duniani kuna viumbe wengine wasioonekana wanaoweza ku ku control bila wewe kujijua hivyo wakati unalaumu hilo jiangalie wewe mwenyewe hujawahi kukutwa na kitu kama hicho au kinachofanana na hicho?
poor justification. kwa hiyo unataka huyu afisa ya P.C.C.B asifikishwe mbele ya mahakama kujibu hizi tuhuma???!!!!!!!!
 
Brother ukiwa na ma stress ya ajabu ajamu kunaweza kuufunya ubongo ukafanya kitu sympathetically kwa lengo la ku regulate hicho kitu cha gafla na kukusababishia kichaa cha muda na kufanya kitendo ambacho hujapanga wala kingigetarajiwa kufanywa na mtu yeyote mwenye uwezo wa kungamua baina ya jema na baya. Hivyo usiamini kuwa matendo kama kifafa (R. v. Tomson Msumali (1969) H.C.D. n. 26 (N.C.D. n. 370) ama kupiga chafya (Anthony Mhikwa v. R. (1968) HCD n. 460) Ndio involuntary action pekee kuna zingine zinasababishwa na provocation na kukusababishia kichaa cha muda na kukuletea kufanya jambo ambalo usingelifanya kama ungekuwa na akili timamu.
biological justification vs justice.......
 
ashukuru sana yupo Tanzania ndio maana kafanya huo ujinga angekua SA aisee ni jela pungufu miaka saba kuendelea unyanyasaji wa wanawake ni kosa kubwa sana...
 
Back
Top Bottom