mr transcript
Member
- Sep 27, 2012
- 56
- 7
niko kwenye semina ya ujasiliamali Tumain university Iringa na watu wa ILO asikudanganye mtu hawa jamaa wako fiti kwenye mambo ya enterprenuership nitazd kuwapa yaliyojili
niko kwenye semina ya ujasiliamali Tumain university Iringa na watu wa ILO asikudanganye mtu hawa jamaa wako fiti kwenye mambo ya enterprenuership nitazd kuwapa yaliyojili
Mi huwa nawaita wauza lecture yaani hao mtaji wao ni mdomo.
Hivi kwanini wajasiriamali wa kitanzania waliofanikiwa katika biashara zao kina Mengi, Bakhressa huwa hawatoi semina kama hizi kuelezea mafanikio yao, njia walimopitia n.k (Inspirational words) na hasa watoe kwa vijana wanaotoka vyuoni,Waulize wao wana hata kibanda cha kuchajishia simu? Bado mimi siamini mwajiriwakutoa semina ya Ujasiriamali, Nakumbuka nikiwa huni kuna lecture mmoja alikuwa anatufundisha intreprenership, alikuwa aiulizwa yeye kma yeye ana ipractice? Jibu lilikuwa ni hapana na anaogopa biashara kama ukoma,
So ishu ya waajiriwa kutoa semina za businss skills mimi kwa kweli siafiki kabisa,
Hivi kwanini wajasiriamali wa kitanzania waliofanikiwa katika biashara zao kina Mengi, Bakhressa huwa hawatoi semina kama hizi kuelezea mafanikio yao, njia walimopitia n.k (Inspirational words) na hasa watoe kwa vijana wanaotoka vyuoni,